Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kama unadhamini pendo lake na kumpenda kwa dhati basi hii kwaajili yake Until Forever Ends

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote

Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]

The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Millian f/ Rasheed & Boniface – Until Forever Ends

Ngoma mpya ya Millian aliyowashirikisha Rasheed na Boniface ‘Until Forever Ends’. Kwenye video ya wimbo huu ataonekana aliyekuwa mwakilishi wa Afrika Kusini kwenye shindano la Big Brother Africa 2014, Samantha. “I’ve always said I will never do a music video and have been asked a few times and declined. But this I did for a […]

 

10 years ago

Vijimambo

WAMEZE CHUPA SASA KAMA VIPI BASI JITIRIRISHE NA HII


BAADA YA MANENO MENGI ZARI AMUUA KUONYESHA KI TUMBO CHAKE

 

9 years ago

MillardAyo

Kama hukuona ajali ya Mike Tyson kwenye hoverboard yake, basi ilikuwa hivi.. (+Video)

Bondia wa zamani mbabe aliyeweka rekodi za nguvu kwenye mchezo wa ngumi, Mike Tyson ameamua tu kutuonesha kwamba kama huwezi kutembelea hoverboard, basi wewe achana nazo tuu hata usijaribu kucheza nazo. Hii video aliipost Mike Tyson kwenye ukurasa wake Instagram ambapo kuna sauti ya mtoto wa kike inaonekana kama anamuonya hivi kwamba ataanguka, lakini Mike […]

The post Kama hukuona ajali ya Mike Tyson kwenye hoverboard yake, basi ilikuwa hivi.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Michuzi

KAMA DAWA YA KIBURI NI JEURI BASI HII NI ZAIDI YA KIBURI

Baada ya kugundua kuwa ujenzi wa nyumba hii iliyopo Bomang'ombe mkoani Kilimanjaro umeingia kwenye kiwanja chake ,mmiliki wa eneo hilo aliamua kujenga ukuta kuzunguka kiwanja chake na alivyofika katika nyumba hii alipitisha ukuta wake mlangoni.

Ukuta ukapita sebuleni mwa nyumba hiyo na kutokea nyuma ya nyumba.Na Hii ndio waswahili wanasema dawa ya Kiburi Jeuri.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

 

10 years ago

GPL

UTAMJUAJE MCHUMBA WAKO KAMA ANA MAPENZI YA DHATI?

WAPENZI wasomaji wa safu hii bila shaka mko poa na mnaendelea na shughuli za kila siku. Kama kawaida ni Jumamosi nyingine tunakutana katika safu hii kuweza kupeana mambo mbalimbali yahusuyo maisha ya uhusiano. Bila kupoteza muda, mada iliyopo hapo juu inajieleza. Ni wengi sana wameumia kwa kumpenda mtu asiyekuwa na penzi la dhati. Raha ya mapenzi, wapendanao mpendane, mheshimiane na kweli muoneshe kutoka moyoni kwamba mna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani