Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMA DAWA YA KIBURI NI JEURI BASI HII NI ZAIDI YA KIBURI

Baada ya kugundua kuwa ujenzi wa nyumba hii iliyopo Bomang'ombe mkoani Kilimanjaro umeingia kwenye kiwanja chake ,mmiliki wa eneo hilo aliamua kujenga ukuta kuzunguka kiwanja chake na alivyofika katika nyumba hii alipitisha ukuta wake mlangoni.

Ukuta ukapita sebuleni mwa nyumba hiyo na kutokea nyuma ya nyumba.Na Hii ndio waswahili wanasema dawa ya Kiburi Jeuri.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kiburi na Ubabe wa Makufuli

The post Kiburi na Ubabe wa Makufuli appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ushindi wa Simba SC wampa kiburi Minziro

KOCHA Mkuu wa timu ya JKT Ruvu, Feed Felix ‘Mniziro’, amezinanga timu za Simba na Yanga zinazoendekeza makocha wa Kizungu na kuachana na wazawa licha ya kuwa na uwezo na...

 

11 years ago

Mwananchi

Abiria watakiwa kukomesha kiburi daladala

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) Kanda ya Ziwa, imewataka abiria wanaotumia usafiri wa daladala mkoani hapa kuwaripoti madereva na makondakta wasiofuata sheria za usafirishaji.

 

11 years ago

Bongo5

New Song: D triple Ft Ben Pol — Kiburi cha Mchele

D triple ni msanii Mpya aliye mshirikisha Ben Pol ngoma inaitwa “Kiburi cha Mchele” Producer Maneck

 

11 years ago

Michuzi

MADEREVA WA DALADALA NA MAKODA MOROGORO WANAVYOJITAKIA FAINI KWA KIBURI, WAKICHUKULIWA HATUA WANAGOMA...

Picha na Habari, John Nditi, Morogoro   LICHA ya madereva wa daladala wa Manispaa ya Morogoro kusitisha mgomo uliodumu saa 10 siku ya Jumatano , Machi 19, mwaka huu na kwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro , Faustine Shilogile, kusisitiza kuwa Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani wataendelea kuzikamata daladala zitakazovunja sheria , baadhi ya madereva na makonda wao wamekuwa ni vichwa sugu kwa ukiukwaji wa sheria hizo.   Dereva na konda wa daladala lenye namba za usajili T 870...

 

9 years ago

MillardAyo

Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote

Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]

The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...

 

10 years ago

Vijimambo

WAMEZE CHUPA SASA KAMA VIPI BASI JITIRIRISHE NA HII


BAADA YA MANENO MENGI ZARI AMUUA KUONYESHA KI TUMBO CHAKE

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani