KAMA DAWA YA KIBURI NI JEURI BASI HII NI ZAIDI YA KIBURI
![](http://2.bp.blogspot.com/-qGrB1_oKetQ/VOstIRTvaDI/AAAAAAAAL9I/NSNDQ0HRXV8/s72-c/IMG-20150222-WA0073.jpg)
Baada ya kugundua kuwa ujenzi wa nyumba hii iliyopo Bomang'ombe mkoani Kilimanjaro umeingia kwenye kiwanja chake ,mmiliki wa eneo hilo aliamua kujenga ukuta kuzunguka kiwanja chake na alivyofika katika nyumba hii alipitisha ukuta wake mlangoni.
Ukuta ukapita sebuleni mwa nyumba hiyo na kutokea nyuma ya nyumba.Na Hii ndio waswahili wanasema dawa ya Kiburi Jeuri.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar28 Aug
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Ushindi wa Simba SC wampa kiburi Minziro
KOCHA Mkuu wa timu ya JKT Ruvu, Feed Felix ‘Mniziro’, amezinanga timu za Simba na Yanga zinazoendekeza makocha wa Kizungu na kuachana na wazawa licha ya kuwa na uwezo na...
11 years ago
Mwananchi14 May
Abiria watakiwa kukomesha kiburi daladala
11 years ago
Bongo521 Jul
New Song: D triple Ft Ben Pol — Kiburi cha Mchele
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HDxW0ZFnz6o/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rhW63pKKF08/UyscSrmpMwI/AAAAAAAFVQo/0fP29ucYi_k/s72-c/unnamed+(45).jpg)
MADEREVA WA DALADALA NA MAKODA MOROGORO WANAVYOJITAKIA FAINI KWA KIBURI, WAKICHUKULIWA HATUA WANAGOMA...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote
Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]
The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-xZqNqYoJMJg/VSKNdGkODHI/AAAAAAAAaNc/PcKg43MTdIM/s72-c/zari7891.jpg)
WAMEZE CHUPA SASA KAMA VIPI BASI JITIRIRISHE NA HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-xZqNqYoJMJg/VSKNdGkODHI/AAAAAAAAaNc/PcKg43MTdIM/s640/zari7891.jpg)
BAADA YA MANENO MENGI ZARI AMUUA KUONYESHA KI TUMBO CHAKE