MADEREVA WA DALADALA NA MAKODA MOROGORO WANAVYOJITAKIA FAINI KWA KIBURI, WAKICHUKULIWA HATUA WANAGOMA...
.jpg)
Picha na Habari, John Nditi, Morogoro LICHA ya madereva wa daladala wa Manispaa ya Morogoro kusitisha mgomo uliodumu saa 10 siku ya Jumatano , Machi 19, mwaka huu na kwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro , Faustine Shilogile, kusisitiza kuwa Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani wataendelea kuzikamata daladala zitakazovunja sheria , baadhi ya madereva na makonda wao wamekuwa ni vichwa sugu kwa ukiukwaji wa sheria hizo. Dereva na konda wa daladala lenye namba za usajili T 870...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
ATHARI YA MGOMO WA MUDA WA MADEREVA WA DALADALA MANISPAA YA MOROGORO LEO
11 years ago
Mwananchi14 May
Abiria watakiwa kukomesha kiburi daladala
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Madereva wa Daladala Moro wagoma kwa saa saba
10 years ago
Michuzi
KAMA DAWA YA KIBURI NI JEURI BASI HII NI ZAIDI YA KIBURI



11 years ago
Mwananchi20 May
Madereva wa daladala za Tegeta wagoma
10 years ago
Mwananchi05 May
Wanachovuna madereva, makondakta wa daladala
11 years ago
Habarileo23 Oct
Madereva daladala, abiria Dar walalamika
BAADHI ya abiria na madereva wa daladala katika eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam wamelalamikia kutowekwa vibao vya kuelekeza kufungwa kwa vituo vya mabasi vilivyokuwa vikitumika eneo la Ubungo baada ya kuhamishiwa kituo kipya cha mabasi cha Simu 2000.
10 years ago
GPL
MADEREVA WA DALADALA MISUNGWI WAZIBA BARABARA