Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shamsa Ford: Natamani Kuolewa na Mtu Ambaye Si Maarufu

Muigizaji wa filamu za Bongo, Shamsa Ford ameweka wazi hisia zake za kutaka kuingia kwenye ndoa.

Shamsa ambaye kwa miezi kadhaa iliyopita amekuwa akikanusha kuwa na uhusiano na Nay Wa Mitego licha ya kuwepo kwa dalili nyingi zinazoashiria kuwa ni wapenzi, amesema sasa umefika muda anatamani kuolewa.

Muigizaji huyo wa ‘Chausiku’ ambaye ni mama wa mtoto mmoja, ameongeza kuwa licha ya kutamani kuwa mke wa mtu lakini nafasi hiyo hawezi kumpa mtu maarufu, kwa lugha nyingine hawezi kuolewa na...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SHAMSA FORD AGOMA KUOLEWA

Na Mwandishi Wetu STAA wa filamu Bongo ‘Shamsa Ford’ amegoma kuolewa siku chache baada ya tarehe ya harusi yake kufika kwa madai kuwa mambo yalivyopangwa sivyo alivyotarajia. Shamsa Ford. Habari kutoka kwa chanzo chetu cha kuaminika, zinasema kuwa harusi ya Shamsa ilikuwa ifanyike kati ya Desemba 24 na 25, mwaka huu lakini aligoma kwa vile walikwenda kinyume na makubaliano ya tarehe husika. “Unajua mwanzoni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shamsa Ford: Usimuhukumu Mtu kwa Muonekano Wake

Usimjudge mtu kwa muonekano... MUONEKANO HUDANGANYA!!!! muonekano unaweza kufanya UKAMUHESHIMU mtu kumbe akawa mshenzi tu.. na muonekano huohuo unaweza ukafanya UKAMDHARAU mtu kumbe ni mtu wa maana.... wangapi wana haiba za upole na ustaarabu lakini ukiambiwa matendo yao ya nyuma unaweza ukabaki mdomo wazi... kuna wangapi wanaonekana ni WATU wenye roho kwenye jamii na wanaopenda kusaidia lakini nyuma ya pazia kwa watu wanaoishi nao kila siku roho zao zina kutu na manyanyaso... ila kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Khadija Kopa: Natamani kuolewa tena

Malkia wa mipasho Tanzania, Khadija Kopa amesema kuwa kwasasa yupo tayari kuolewa tena baada ya kumpoteza mume wake aliyefariki miaka miwili iliyopita. Alipoulizwa kwenye kipindi cha Sporah kama bado ana mpango wa kuolewa tena baada ya kufiwa na mume wake alisema, yeye kama binadamu maisha ni lazima yaendelee na anatamani apate mume mwingine wa kumuoa. […]

 

10 years ago

GPL

SHAMSA: NATAMANI KUONGEZA MTOTO, LAKINI NITAZAA NA NANI?

Mwandishi wetu Staa wa filamu mwenye mvuto wa kipekee Shamsha Ford, amefunguka kuwa anatamani sana kuzaa mtoto mwingine lakini bado anaumiza kichwa ni nani atakayezaa naye mtoto huyo ili isije ikatokea kama mwanzoni kwa baba wa mtoto wake. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Shamsha alisema hakuna kitu ambacho anakipenda kama watoto na pia kazi ya kulea anaifahamu vizuri sana hivyo alitamani mno kuongeza...

 

9 years ago

Global Publishers

Shamsa Ford hana aibu!

shamsaaaaMsanii wa filamu, Shamsa Ford.

Imelda Mtema
Hana aibu! Msanii wa filamu, Shamsa Ford hivi karibuni alizua gumzo baada ya kutupia picha kwenye mtandao ikimuonesha akiwa nusu utupu mbele ya Wamasai walioonekana kupata mfadhaiko.

Mara baada ya msanii huyo kuiwekaN mtandaoni picha hiyo, mashabiki wake wengi walimchana kwa kuacha maungo yake wazi tena pembeni wakiwepo watoto.

Akiizungumzia picha hiyo, Shamsa alisema kuwa, aachwe avae anavyotaka kwani hakuna mtu anayeweza kumuingilia kwenye maisha...

 

11 years ago

GPL

SHAMSA FORD NA HOFU YA KIFO

Stori: Gladness Mallya DUH! Staa  wa filamu Bongo, Shamsa Ford amefunguka kuwa anakiona kifo chake hivyo anawaomba msamaha aliowakosea na kuwasamehe waliomkosea. Staa  wa filamu Bongo, Shamsa Ford akipozi. Akistorisha na gazeti hili, Shamsa alisema ameamua kuanza kujisafishia njia kwani yeye ni binadamu na umauti unaweza kumkuta muda wowote hata kama akiwa mzima. “Ninaomba msamaha kwa wote niliowakosea kwani mimi ni...

 

11 years ago

GPL

SHAMSA FORD: POMBE IMENIZEESHA

Na Imelda Mtema
DIVA wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford, amefunguka kuwa ameamua kuacha pombe kwa sababu ameona haina faida yoyote kwake zaidi ya kumzeesha na kumfanya aonekane kama mama mtu mzima. Shamsa Ford. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, juzikati jijini Dar es Salaam, Shamsa alisema: “Nilikuwa napiga sana mtungi, yaani nilikuwa nikipata nafasi ya kunywa, napiga balaa lakini naona hakuna cha maana, sanasana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Shamsa Ford ajivunia mapokezi ya Chausiku

MWANADADA anayetamba katika filamu ya ‘Chausiku’, Shamsa Ford amewashukuru wapenzi wake kwa kuipokea vyema filamu hiyo na kwamba anauhakika kati ya kazi zote hiyo amecheza vizuri zaidi. Akizungumza jijini Dar...

 

10 years ago

GPL

SHAMSA FORD: NAWACHUKIA WANAOPENDA KUJIKWEZA

Muigizaji wa Bongo Movie, Shamsa Ford. Gabriel Ng’osha NI wiki nyingine tena mpenzi msomaji wa safu hii ya Dukuduku. Leo tunaye muigizaji wa Bongo Movie, Shamsa Ford akifunguka kuwa hapendi au kusikia watu wanashindana kwenye vitu vya kijinga. “Huwa nawashangaa hao wanaojiita ni watoto wa mjini, kuna wakati utakuta wanashindana katika mambo ya kijinga, mfano mwenzake kafanya hiki basi na yeye pia anataka akifanye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani