Mhe. Vicky Kamata aibuka na wimbo mpya wa "Moyo wa mtu kichaka" baada ya mikasa yake ya kuugua ghafla kabla ya ndoa yake
![](http://4.bp.blogspot.com/-snaiDT0TvIg/U58lBwmHqVI/AAAAAAAFrHc/DgbEGVO40Lg/s72-c/Vick+akikumbatiana+na+Kigwangala+(1).jpg)
Mh. Vicky Kamata aliwasili Bungeni Dodoma na kama ilivyo ada alipokewa vizuri na kila mbunge aliyekutana nae. Wabunge wengi walimpa pole baada ya kuugua siku chache kabla ya ndoa yake na kumtakia kila la kheri, huku wengi wakiamini kilichotokea ni mpango wa Mungu na kua Ndoa yake ipo na itakuwepo siku yoyote Mungu akiamua kulitimiza kusudi lake juu ya Mh. Vicky Kamata.. Wakati wabunge wengi wakimuhurumia na kudhani kua kutofungwa kwa ndoa yake kungemgharimu siku nyingi kurudi katika hali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 Jul
10 years ago
Michuzi02 Feb
11 years ago
Mwananchi29 May
‘Sijavuruga ndoa ya Vicky Kamata’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pyb6tIrRdJ0L3Q3bKkk2W9ds2-eUmqIApIFVVx1O*hQl7VTiX*43NmOE4EDf657g5VEa3AwgYJWVXS*5zQ1iDf/vicky.jpg)
SABABU 3 NDOA YA VICKY KAMATA KUYEYUKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBInyrTPb0gxTUoyFmqH3qAvQVPlgSrSuyZsQEeRWUsLKpi-qEpgdwtgHz4BmO0S085UfZ4gqsasAP3c69SKFuXfl/vicky.jpg)
NDOA YA MIL. 96 YA VICKY KAMATA HATIHATI KUFUNGWA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-z6OBZ9b5bQY/VYh2f2nG1bI/AAAAAAAHimg/RnmFIj7bisY/s72-c/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
Mhe Vicky Kamata atoa baiskeli 500 kwa wanawake wa mkoa wa Geita
![](http://1.bp.blogspot.com/-z6OBZ9b5bQY/VYh2f2nG1bI/AAAAAAAHimg/RnmFIj7bisY/s640/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XamNxK7gcio/VYh2hkiwgRI/AAAAAAAHimo/x_czsMwWfMw/s640/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6fB9pY8jgJ0/VYh2kqqK4LI/AAAAAAAHimw/CIucTr_05p0/s1600/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gZxPy-zzA2Q/VYh2ok0xoqI/AAAAAAAHim4/4x93rj2Wj04/s1600/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
10 years ago
CloudsFM17 Feb
Baada ya kuugua kwa miezi kadhaa,mama yake Diamond aendelea vizuri
Mwanafamilia huyo alisema kwamba, Diamond na mama yake walirejea nchini...
11 years ago
CloudsFM29 May
VICK KAMATA AUGUA GHAFLA, KUTOFUNGA NDOA KESHO
ile ndoa ya Mh.Vick Kamata na mchumba wake wa siku nyingi aitwaye Charles iko ambayo ilitarajiwa kufungwa kesho imeshindikana baada ya Mheshimiwa huyo kuugua ghafla jana usiku na kukimbizwa hospitalini.
Kwa mujibu wa Daktari wake ambaye amezungumza na Clouds fm alisema kuwa Vick Kamata alipelekwa katika hospitali hiyo akiwa katika hali isiyoridhisha kwani alikuwa akitapika na kwamba ujauzito wake ulikuwa ukiashiria kutoka hali ilimfanya alazwe katika hospitali hiyo iliyopo maeneo ya...