Mhe Vicky Kamata atoa baiskeli 500 kwa wanawake wa mkoa wa Geita
![](http://1.bp.blogspot.com/-z6OBZ9b5bQY/VYh2f2nG1bI/AAAAAAAHimg/RnmFIj7bisY/s72-c/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
Katika kutambua na kudhamini juhudi za Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulahman Kinana katika kukuiimarisha chama Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Vicky Kamata amejitolea kutoa baiskel 500 kwa wanawake wa Umoja wa Wanawake wa mkoa mzima wa Geita ambapo Wanawake hao watatumia baiskel hizo kukuiimarisha chama. Pichani Mhe Kamata akipongezwa kwa moyo wake huo
Baiskeli alizotoa Mhe Vick Kamata mkoani Geita
Mhe. Vicky Kamata akihutubia umati wa wananchi kwenye mkutano huo wa hadhara mkoani Geita
Katibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Z26IzfpmPHI/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-snaiDT0TvIg/U58lBwmHqVI/AAAAAAAFrHc/DgbEGVO40Lg/s72-c/Vick+akikumbatiana+na+Kigwangala+(1).jpg)
Mhe. Vicky Kamata aibuka na wimbo mpya wa "Moyo wa mtu kichaka" baada ya mikasa yake ya kuugua ghafla kabla ya ndoa yake
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/iaY6lIqlQu0/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2325012/highRes/751453/-/maxw/600/-/1pkoypz/-/kamata.jpg)
Mbunge Vicky Kamata augua
11 years ago
Mwananchi29 May
‘Sijavuruga ndoa ya Vicky Kamata’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNRijyZ4LbX0*nMim*GaHA5p80wefnqJqI4Mxl-7l-qZBnaytNK3Sq2nji5FSnZUN5HPzEsNexLtgy1lbJAqR0kc/vicky.jpg)
VICKY KAMATA AFANYIWA SHEREHE
10 years ago
Mtanzania01 Oct
Vicky Kamata adakwa polisi
![Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/Vicky-Kamata.jpg)
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata
MBUNGE wa Viti Maalumu, Vicky Kamatta (CCM), amekamtwa na Polisi Mkoa wa Dodoma kwa tuhuma za kuwatumia ujumbe mfupi wa simu za matusi wabunge wenzake.
Chanzo ncha kuaminika kutoka mjini Dodoma kiliambia MTANZANIA kuwa kwa kipindi cha miezi kadhaa Vicky amekuwa akituma sms za matusi kwa wabunge wenzake wa viti maalumu kupitia CCM, Catherine Magige na Lucy Mayenga ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Uyui.
Taarifa zaidi zinasema kuwa wabunge hao walikuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYnmJAeq7zWG25SEI3*pHry5U5MtwL*MoWNaZQP6yCoPSfLMRC1TxZ*--MSNXVGrXH8DRaLYaJxAC2a43NmTwgDy/harusi.jpg)
HARUSI YA VICKY KAMATA MIL. 96
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pyb6tIrRdJ0L3Q3bKkk2W9ds2-eUmqIApIFVVx1O*hQl7VTiX*43NmOE4EDf657g5VEa3AwgYJWVXS*5zQ1iDf/vicky.jpg)
SABABU 3 NDOA YA VICKY KAMATA KUYEYUKA