VICKY KAMATA AMPONGEZA KINANA KWA KAZI NZURI ANAYOFANYA KUJENGA NA KUKIIMARISHA CHAMA
![](http://img.youtube.com/vi/iaY6lIqlQu0/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziLOWASSA- NAWAPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA NAPE KWA KAZI KUBWA WANAYOIFANYA YA KUKIIMARISHA CHAMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-z6OBZ9b5bQY/VYh2f2nG1bI/AAAAAAAHimg/RnmFIj7bisY/s72-c/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
Mhe Vicky Kamata atoa baiskeli 500 kwa wanawake wa mkoa wa Geita
![](http://1.bp.blogspot.com/-z6OBZ9b5bQY/VYh2f2nG1bI/AAAAAAAHimg/RnmFIj7bisY/s640/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XamNxK7gcio/VYh2hkiwgRI/AAAAAAAHimo/x_czsMwWfMw/s640/unnamed%2B%252852%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6fB9pY8jgJ0/VYh2kqqK4LI/AAAAAAAHimw/CIucTr_05p0/s1600/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gZxPy-zzA2Q/VYh2ok0xoqI/AAAAAAAHim4/4x93rj2Wj04/s1600/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Kinana: Mama Anne Kilango Malecela ni Katapilla la Same Mashariki, amsifu kwa kazi nzuri
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Same Mashariki na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi mama Anne Kilango Malecela wakati alipowasili katika kijiji cha Maone akiwa katika ziara yake ya Kikazi yenye lengo la kukagua na kuhimiza utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza uhai wa Chama Cha Mapinduzi CCM ambapo alikagua mradi wa chuo cha ufundi cha Maone na kumsifu mbunge wa jimbo hilo Mama Anne Kilango kuwa ni Katapilla...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Z26IzfpmPHI/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Aondolewa marukufu ya kuendesha kwa sababu ya kazi anayofanya
11 years ago
Mwananchi![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2325012/highRes/751453/-/maxw/600/-/1pkoypz/-/kamata.jpg)
Mbunge Vicky Kamata augua
11 years ago
Mwananchi29 May
‘Sijavuruga ndoa ya Vicky Kamata’
10 years ago
Mtanzania01 Oct
Vicky Kamata adakwa polisi
![Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/Vicky-Kamata.jpg)
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata
MBUNGE wa Viti Maalumu, Vicky Kamatta (CCM), amekamtwa na Polisi Mkoa wa Dodoma kwa tuhuma za kuwatumia ujumbe mfupi wa simu za matusi wabunge wenzake.
Chanzo ncha kuaminika kutoka mjini Dodoma kiliambia MTANZANIA kuwa kwa kipindi cha miezi kadhaa Vicky amekuwa akituma sms za matusi kwa wabunge wenzake wa viti maalumu kupitia CCM, Catherine Magige na Lucy Mayenga ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Uyui.
Taarifa zaidi zinasema kuwa wabunge hao walikuwa...