Kinana: Mama Anne Kilango Malecela ni Katapilla la Same Mashariki, amsifu kwa kazi nzuri
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Same Mashariki na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi mama Anne Kilango Malecela wakati alipowasili katika kijiji cha Maone akiwa katika ziara yake ya Kikazi yenye lengo la kukagua na kuhimiza utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza uhai wa Chama Cha Mapinduzi CCM ambapo alikagua mradi wa chuo cha ufundi cha Maone na kumsifu mbunge wa jimbo hilo Mama Anne Kilango kuwa ni Katapilla...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
IPPmedia02 Apr
Anne Kilango Malecela
IPPmedia
IPPmedia
The twelve committees of the Constituent Assembly yesterday started work on Chapter One and Six of the draft constitution behind closed doors and tight security. The two chapters of the draft covers the Union issue which has already divided the members in ...
Debates on 2nd Katiba draft 'go on smoothly'Daily News
all 3
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y2ti_Fe914Y/VTfgSg6O2KI/AAAAAAAHSnI/rlfqrsfo8Sw/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
Mhe Anne Kilango Malecela aitaka Bodi ya Mikopo kutoa elimu zaidi kwa wadaiwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y2ti_Fe914Y/VTfgSg6O2KI/AAAAAAAHSnI/rlfqrsfo8Sw/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WmRflIEQQsk/VTfgSgZi3YI/AAAAAAAHSnM/Lm6xwzH5dCU/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Kinana amsifu Mama Salma Kikwete kuanzisha shule ya WAMA Nakayama
Katibu Mkuu wa CCM, ADULRAHMAN Kinana akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya WAMA NAKAYAMA aliposimama kwa muda akitokea ziara ya Kisiwa cha Mafia kwenda Dar es Salaam. Alimpongeza Mama Salma Kikwete kwa kitendo cha kuanzisha shule hiyo yenye manufaa makubwa kwa watoto ya kike wanaotoka sehemu mbalimbali nchini kwenda kusoma hapo. Pia alitumia furssa hiyo kuwapongeza walimu wa shule hiyo kwa kazi kubwa wanaoifanya kiasi cha kufanikisha wanafunzi kufanya vizuri katika mtihani wa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/iaY6lIqlQu0/default.jpg)
10 years ago
MichuziMh. Anne Kilango aitaka Bodi ya Mikopo kutoa elimu zaidi kwa wadaiwa
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
Anne Kilango aichapa serikali
MBUNGE wa Same Mashariki, Anne Kilango (CCM), ameilipua Serikali kuwa kutokana na kuwa legelege ndio maana nchi za nje zimeifanya Tanzania kuwa sehemu ya kuuzia dawa za kulevya. Kilango alitoa...
9 years ago
StarTV22 Sep
Anne Kilango aahidi kuwaletea wananchi maendeleo
Wakati Watanzia wakikaribia kwenye uchaguzi mkuu kuwachagua Wabunge Madiwani pamoja na Rais Mgombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM katika Jimbo la Same Mashariki Anne Kilango ameahidi kusimamia vyema ilani ya chama chake katika kuwaletea maendeleo wananchi hususani kwenye nyanja ya uchumi endapo atapata ridhaa kwa mara nyingine kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Kilango ameyasema hayo katika mkutano wake wa kampeni wa kuomba kura kwa wananchi uliofanyika kwenye Kata ya Gonja Maore wilayani...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X8JSv4rUSKo/VTXP27ZkYTI/AAAAAAAHSLg/COkwDaUApFc/s72-c/unnamed%2B(87).jpg)
Mhe Anna Kilango Malecela atembelea Taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
![](http://4.bp.blogspot.com/-X8JSv4rUSKo/VTXP27ZkYTI/AAAAAAAHSLg/COkwDaUApFc/s1600/unnamed%2B(87).jpg)