Mbunge Vicky Kamata augua
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2325012/highRes/751453/-/maxw/600/-/1pkoypz/-/kamata.jpg)
>Ni matukio nadra kutokea katika maisha, lakini haya ndiyo yaliyomkuta Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata, baada ya kuugua ghafla saa 36 kabla ya harusi yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYnmJAeq7zWG25SEI3*pHry5U5MtwL*MoWNaZQP6yCoPSfLMRC1TxZ*--MSNXVGrXH8DRaLYaJxAC2a43NmTwgDy/harusi.jpg)
HARUSI YA VICKY KAMATA MIL. 96
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNRijyZ4LbX0*nMim*GaHA5p80wefnqJqI4Mxl-7l-qZBnaytNK3Sq2nji5FSnZUN5HPzEsNexLtgy1lbJAqR0kc/vicky.jpg)
VICKY KAMATA AFANYIWA SHEREHE
10 years ago
Mtanzania01 Oct
Vicky Kamata adakwa polisi
![Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/Vicky-Kamata.jpg)
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Vicky Kamata
MBUNGE wa Viti Maalumu, Vicky Kamatta (CCM), amekamtwa na Polisi Mkoa wa Dodoma kwa tuhuma za kuwatumia ujumbe mfupi wa simu za matusi wabunge wenzake.
Chanzo ncha kuaminika kutoka mjini Dodoma kiliambia MTANZANIA kuwa kwa kipindi cha miezi kadhaa Vicky amekuwa akituma sms za matusi kwa wabunge wenzake wa viti maalumu kupitia CCM, Catherine Magige na Lucy Mayenga ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Uyui.
Taarifa zaidi zinasema kuwa wabunge hao walikuwa...
11 years ago
Mwananchi29 May
‘Sijavuruga ndoa ya Vicky Kamata’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pyb6tIrRdJ0L3Q3bKkk2W9ds2-eUmqIApIFVVx1O*hQl7VTiX*43NmOE4EDf657g5VEa3AwgYJWVXS*5zQ1iDf/vicky.jpg)
SABABU 3 NDOA YA VICKY KAMATA KUYEYUKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LuODjBO6Ur5tQvUxUwWX-GbzkaYQ5UTSPXAQRBfnqKw9aHgXHO4QWjpqivU4SggHtfAnTXgemIv*55eME3-Umab/vicky.jpg)
WAPAMBE WAMFUATA VICKY KAMATA WODINI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBInyrTPb0gxTUoyFmqH3qAvQVPlgSrSuyZsQEeRWUsLKpi-qEpgdwtgHz4BmO0S085UfZ4gqsasAP3c69SKFuXfl/vicky.jpg)
NDOA YA MIL. 96 YA VICKY KAMATA HATIHATI KUFUNGWA
11 years ago
Michuzi09 Jul
11 years ago
CloudsFM29 May
VICK KAMATA AUGUA GHAFLA, KUTOFUNGA NDOA KESHO
ile ndoa ya Mh.Vick Kamata na mchumba wake wa siku nyingi aitwaye Charles iko ambayo ilitarajiwa kufungwa kesho imeshindikana baada ya Mheshimiwa huyo kuugua ghafla jana usiku na kukimbizwa hospitalini.
Kwa mujibu wa Daktari wake ambaye amezungumza na Clouds fm alisema kuwa Vick Kamata alipelekwa katika hospitali hiyo akiwa katika hali isiyoridhisha kwani alikuwa akitapika na kwamba ujauzito wake ulikuwa ukiashiria kutoka hali ilimfanya alazwe katika hospitali hiyo iliyopo maeneo ya...