VICK KAMATA AUGUA GHAFLA, KUTOFUNGA NDOA KESHO
ile ndoa ya Mh.Vick Kamata na mchumba wake wa siku nyingi aitwaye Charles iko ambayo ilitarajiwa kufungwa kesho imeshindikana baada ya Mheshimiwa huyo kuugua ghafla jana usiku na kukimbizwa hospitalini.
Kwa mujibu wa Daktari wake ambaye amezungumza na Clouds fm alisema kuwa Vick Kamata alipelekwa katika hospitali hiyo akiwa katika hali isiyoridhisha kwani alikuwa akitapika na kwamba ujauzito wake ulikuwa ukiashiria kutoka hali ilimfanya alazwe katika hospitali hiyo iliyopo maeneo ya...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM01 Oct
VICK KAMATA AKANA KUKAMATWA NA POLISI
MBUNGE wa Viti Maalumu, Vicky Kamatta (CCM), amekanusha habari zilizoripotiwa leo na gazeti moja la hapa nchini kuwa amekamtwa na Polisi Mkoa wa Dodoma kwa tuhuma za kuwatumia ujumbe mfupi wa simu za matusi wabunge wenzake.
Habari zilisema kwa kipindi cha miezi kadhaa Vicky amekuwa akituma sms za matusi kwa wabunge wenzake wa viti maalumu kupitia CCM, Catherine Magige na Lucy Mayenga ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Uyui. Taarifa zaidi zinasema kuwa wabunge hao walikuwa wakitumiwa sms za...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-snaiDT0TvIg/U58lBwmHqVI/AAAAAAAFrHc/DgbEGVO40Lg/s72-c/Vick+akikumbatiana+na+Kigwangala+(1).jpg)
Mhe. Vicky Kamata aibuka na wimbo mpya wa "Moyo wa mtu kichaka" baada ya mikasa yake ya kuugua ghafla kabla ya ndoa yake
11 years ago
Mwananchi![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2325012/highRes/751453/-/maxw/600/-/1pkoypz/-/kamata.jpg)
Mbunge Vicky Kamata augua
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Asomewa shtaka, augua ghafla
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Mbowe augua ghafla, awahishwa Muhimbili
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3zV2Lt-fqH2KAK4qCW7NaKsjLgYLXJi5R5LM4NctwO7G3ZmiQatbmAvCfnTEEs53WQT*48WhRILNwjAbRgIpiQB/kude.gif)
Mkude augua ghafla, hoi hospitali
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1cpeWYBMdbFS7MlGVoWGkP6x05EP*Q0iX6AYmnN9k7b3EwzgjkzBdvJ8HiAzYfp3fYWrxFrrhQ95*2Kj48z8W1Df/hbaba1.jpg)
H BABA AUGUA GHAFLA SIKU YA JANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRYMqpQ*692VytxQvTEJ9R3JQAvHN97M5Wlz-qgvUdL9WxR5YE17CA8-pDH*2xonCmE3SEMjWoj*PUO0ghaYAl9s/tyson.jpg?width=650)
40 YA TYSON MAMA YAKE AUGUA GHAFLA
10 years ago
Mtanzania02 May
Madabida augua ghafla sherehe za Mei Mosi
Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida jana aliugua ghafla wakati akiwa katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani Mkoa wa Dar es Salaam, yaliyofanyika katika Uwanja wa Uhuru ulioko Wilaya ya Temeke.
Madabida ambaye haikufahamika mara moja aliugua nini, alikimbizwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Gazeti hili ambalo lilikuwa uwanjani hapo jana, lilimshuhudia Madabida...