Asomewa shtaka, augua ghafla
Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka la kushawishi wafuasi wake kutenda kosa la jinai.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Diwani asomewa shtaka kitandani
DIWANI wa Kata ya Magata Kalutanga, Geofrey Ezekiel (CCM), aliyekamatwa juzi na kuwekwa ndani kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Limbris Kipuyo, jana alisomewa shtaka akiwa kitandani katika ...
11 years ago
Mwananchi28 May
Bibi wa ‘unga’ asomewa shtaka, apanda kizimbani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1cpeWYBMdbFS7MlGVoWGkP6x05EP*Q0iX6AYmnN9k7b3EwzgjkzBdvJ8HiAzYfp3fYWrxFrrhQ95*2Kj48z8W1Df/hbaba1.jpg)
H BABA AUGUA GHAFLA SIKU YA JANA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3zV2Lt-fqH2KAK4qCW7NaKsjLgYLXJi5R5LM4NctwO7G3ZmiQatbmAvCfnTEEs53WQT*48WhRILNwjAbRgIpiQB/kude.gif)
Mkude augua ghafla, hoi hospitali
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Mbowe augua ghafla, awahishwa Muhimbili
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRYMqpQ*692VytxQvTEJ9R3JQAvHN97M5Wlz-qgvUdL9WxR5YE17CA8-pDH*2xonCmE3SEMjWoj*PUO0ghaYAl9s/tyson.jpg?width=650)
40 YA TYSON MAMA YAKE AUGUA GHAFLA
11 years ago
CloudsFM05 Jun
H BABA AUGUA GHAFLA, ASHINDWA KUMUAGA TYSON
STAA wa Bongo Fleva,Hamis Baba ameugua ghafla jana na kuanguka wakati akijiandaa kwenda kuaga mwili wa aliyekuwa muandaaji wa filamu za Kibongo,marehemu Geogre Otieno Tyson katika viwanja vya Leades,Kinondoni,Dar.
Aidha msanii alisema kuwa baada ya hali hiyo kumtokea alikimbizwa hospitalini. Kupitia Account yake ya Instagram aliandika hivi… Naumwa sana nilikuwa najiandaa kwenye kumuaga mwenzetu Tyson nikasikia kizunguzungu nikaanguka… hapa nipo hospitalini…
10 years ago
Mtanzania02 May
Madabida augua ghafla sherehe za Mei Mosi
Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida jana aliugua ghafla wakati akiwa katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani Mkoa wa Dar es Salaam, yaliyofanyika katika Uwanja wa Uhuru ulioko Wilaya ya Temeke.
Madabida ambaye haikufahamika mara moja aliugua nini, alikimbizwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Gazeti hili ambalo lilikuwa uwanjani hapo jana, lilimshuhudia Madabida...
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Mjumbe Bunge Maalumu augua ghafla, alazwa