Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


(WASIFU) MH. WASIRA : Akielezea kwa ufupi Historia yake : Elimu na Utumishi

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo Movies

Mfahamu vizuri mwigizaji Jacob Steven (JB). Ametoka wapi na historia yake yote kwa ufupi mpaka sasa

Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Steven Jacob maarufu kama JB, kwa sasa ni miongoni mwa watu wenye majina makubwa mno katika fani hiyo nchini. Ni miongoni mwa nyota `Watano’ Bora zaidi wa kiume kwa upande wa fani hiyo, hivyo kumfanya kuwa katika hadhi ya juu, sawa na nyota wengine kama akina Steven Kanumba na Vincent Kigosi `Ray’ na wengine.

Ndiyo maana haishangazi kuona kwamba, hata leo hii ukiingia katika soko la filamu zilizo juu, huwezi...

 

10 years ago

Bongo5

PAPASO: MC Pilipili akielezea safari yake ya uchekeshaji ilivyoanza

Mchekeshaji wa Tanzania MC Pilipili wiki hii alikuwa mgeni wa kipindi cha Papaso kupitia TBC Fm. Amezungumzia safari yake ya uchekeshaji ilivyoanza na mengine mengi.

 

11 years ago

Michuzi

PSPF KUENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA JUU YA MAFAO WAYATOWAYO KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZIMMOJA

BAADHI YA MAOFISA KUTOKA MFUKO WA PESHENI KWA WATUMISHI WA Umma 'PSPF' WAKIWA TAYALI KUWASIKILIZA WATU MBALIMBALI KATIKA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA WAKATI WA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA. Afisa uendeshaji wa mfuko wa pesheni kwa watumishi wa umma 'PSPF'  Bw,Hadji Jamadary kulia  akimpatia maelezo Bw,Arbogast Nzeyimana wakati wa maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma Ofisa masoko wa mfuko wa pesheni kwa watumishi wa umma'PSPF' Bi, Rahma Ngassa kulia akimpatia mahelezo mmoja ya wananchi...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

BBCSwahili

Michezo kwa ufupi

Kunea kwa ugonjwa wa Ebola umefanya fainali za Kombe la mataifa ya Afrika kuwa mashakani.

 

11 years ago

Mwananchi

Habari za biashara kwa ufupi

Wakulima wa zao la Pareto kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya watachangia Sh43.2 milioni watakazotoa kwa njia ya ushuru katika kipindi cha mwaka 2014/15, ilielezwa.

 

10 years ago

Vijimambo

HABARI MBALIMBALI KWA UFUPI

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete alisema kuwa atakayekuwa mgombea wake wa urais baadaye mwaka huu bado hajajitokeza mpaka sasa.Akihutubia Jumapili katika sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho katika Uwanja wa Majimaji Mjini Songea mkoani Ruvuma, Rais alisema:“Wapo watu wenye sifa zote za urais lakini hawajitokezi na hata wakiambiwa kuwa wanaweza husema kuwa hawajajiandaa. Hawa ndiyo tunaowahitaji kwa kuwa wanahitaji kukumbushwa.”Katika tukio jingine,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani