Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSIKILIZE MADARAKA NYERERE AKIELEZEA MAISHA YA BABA YAKE ALIKUA NI MTU WA AINA GANI

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Shiekh Mohammed Al Maktoum: Je mtawala huyu wa Dubai ni mtu wa aina gani?

Bilionea huyo ameimarisha milki hiyo ya kiarabu na kuifanya kituo kikiuu cha Biashara na utalii.

 

5 years ago

BBCSwahili

"Maisha yake ni sawasawa na mtu aliyekufa na kufufuka" kulingana na mama yake

Simulizi ya mtoto mwenye ugonjwa adimu duniani ambaye siku ngingi anajipata kuwa hspitali zaidi ya nyumbani tena chumba cha wagonjw amahutui (ICU)

 

10 years ago

Michuzi

MAKONDA AONGOZA MAMIA MAZISHI YA BABA YAKE MSANII STEVE NYERERE

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Francis Festus Mengele, Baba wa Msanii, Steven "Nyerere" Mengele (kulia) . Shangazi wa Msanii, Steve Nyerere, Grace Mengele (katikati), akiwa na wadogo zake Steve Nyerere wakati akiwasili makaburi ya Kinondoni kwa mazishi ya mpendwa wao, Francis Mengele. Watoto wa marehemu na dada zake wakiwa kwenye ibada ya maziko makaburi ya Kinondoni. Ibada ya maziko ikiendelea.

BOFYA HAPA KUONA PICHA...

 

5 years ago

BBCSwahili

Siku ya akinababa duniani: Maisha ya baba muendeshapikipiki anayelea watoto wadogo peke yake

Kennedy Mwangi Washira ni baba Mwendeshapikipiki anaewalea watoto wawili baada ya kuachwa na mke wake ambaye alikua mlevi wa kupindukia. Katika siku ya hii ya Baba au Akinababa duniani, amezungumza na BBC huhusu maisha yake ya malezi na kutoa ushauri akinababa wengine wanaopitia changamoto za kuwalea watoto wao peke yao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Msichana aliyeendesha baiskeli ili kunusuru maisha ya baba yake amekuwa maarufu India

Msichana aliyeendesha baiskeli ili kunusuru maisha ya baba yake amekuwa maarufu nchini India

 

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA, AONGOZA MAMIA MAZISHI YA BABA YAKE MSANII STEVE NYERERE

 Marehemu Francis Festus Mengele, enzi za uhai wake. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Francis Festus Mengele.
 Shangazi wa Msanii, Steve Nyerere, Grace Mengele (katikati), akiwa na wadogo zake Steve Nyerere wakati akiwasili makaburi ya Kinondoni kwa mazishi ya mpendwa wao, Francis Mengele. Watoto wa marehemu na dada zake wakiwa kwenye ibada ya maziko makaburi ya Kinondoni. Ibada ya maziko ikiendelea. Hali ilivyokuwa wakati wa mazishi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani