Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siku ya akinababa duniani: Maisha ya baba muendeshapikipiki anayelea watoto wadogo peke yake

Kennedy Mwangi Washira ni baba Mwendeshapikipiki anaewalea watoto wawili baada ya kuachwa na mke wake ambaye alikua mlevi wa kupindukia. Katika siku ya hii ya Baba au Akinababa duniani, amezungumza na BBC huhusu maisha yake ya malezi na kutoa ushauri akinababa wengine wanaopitia changamoto za kuwalea watoto wao peke yao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

"Muumbaji wa ndoa ni Mungu peke yake............Hakuna mwalimu wa ndoa hapa duniani" - Tumaini Kilangwa

Tumaini Kilangwa au da Tuma, yeye ni mama wa watoto wawili, mke, na mfanyabiashara. katika mahojiano haya ambayo yote amerekodi na unaweza sikiliza (audio), ameongelea mambo mabali mbali kuanzia alipotokea, maisha yake ya elimu, maisha kama mama, maisha kama mke, na maisha kama mfanyabiashara. Ni mahojiano mazuri sana ambayo yanafundisha na kutia moyo kuwa hakuna lisilo wezekana kwa Mungu  (kama unaamini kuna Mungu). Tafadhali chukua muda wako umsikilize wala hutojutia...

 

10 years ago

Bongo5

Zari: Sijawatelekeza watoto wangu, ninakaa nao siku 300, baba yao siku 65

Mrs Diamond Platnumz, Zari Ttale aka The Bosslady amesema hajawatelekeza watoto wake tofauti na watu wengi wanavyomshutumu kwakuwa siku za hivi karibuni amekuwa akiongozana na mpenzi wake huyo mpya. Zari amesema katika mwaka hukaa na wanae kwa siku 300 na zingine zilizosalia hukaa kwa baba yao ambaye walishaachana. “That awkward moment when everyone thinks you […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Watoto wa mastaa wa soka duniani wanaofuata nyayo za baba zao

Hizi ni picha za watoto wa wachezaji wa soka waliostaafu wanaofuata nyayo za wazazi wao. Hawa ni baadhi yao ambapo kuna watoto wa Zinedine Zidane, Rivaldo, Edwin van der Sar, Andy Cole na Patrick Kluivert. Je watoto hao wataweza kutawala katika soka kama baba zao na tutashuhudia kizazi kingine cha watoto wa magwiji hao? Diego […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Siku ya wauguzi duniani: Watu wanaohatarisha maisha kuwahudumia wagonjwa wa COvid -19

Wauguzi duniani kote wamekuwa wakipambana na janga la corona. Kazi hii ni ngumu sana kwa kuwa wengi wamepoteza maisha kutokana na ugonjwa huu. Katika siku hii, BBC imezungumza na wauguzi wanne kutoka maabara nne wakieleza changamoto katika shughuli hii ya kuwa mstari wa mbele kupambana na Covid-19.

 

11 years ago

GPL

H.BABA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

H.Baba na mke wake, Florah Mvungi wakilishana keki. Florah Mvungi akiwa na mtoto wake Tanzanite. H.Baba akimlisha keki mama yake. Mke wake H.Baba, Florah Mvungi  akiwa…

 

10 years ago

GPL

CHRIS BROWN AANDAA SHEREHE YA SIKU YA BABA DUNIANI, BINTIYE NDIYE MGENI RASMI

Chris Brown akiwa na binti yake Royalty Brown. MWANAMUZIKI wa nchini Marekani, Christopher Maurice "Chris" Brown amejiandalia sherehe maalum kusherehekea Siku ya Baba Duniani ambapo mgeni rasmi atakuwa binti yake Royalty Brown mwenye umri wa mwaka mmoja. Chris amewaalika marafiki zake wenye watoto kujumuika naye katika sherehe hiyo inayofanyika leo huko Marekani. Siku ya Baba Duniani katika nchi nyingi huadhimishwa Jumapili...

 

5 years ago

BBCSwahili

Msichana aliyeendesha baiskeli ili kunusuru maisha ya baba yake amekuwa maarufu India

Msichana aliyeendesha baiskeli ili kunusuru maisha ya baba yake amekuwa maarufu nchini India

 

10 years ago

GPL

YEMI ATANGAZA SIKU YA KUZIKWA BABA YAKE

Baba yake Yemi Alade aliyekuwa Kamishna Mstaafu wa Polisi, J.A. Alade enzi za uhai wake. MWANAMUZIKI wa kike wa Nigeria, Yemi Alade,  na familia yake watafanya  maziko ya marehemu baba yake tarehe 7 na 8 Mei mwaka huu. Baba yake Alade aliuyekuwa Kamishna Mstaafu wa Polisi, J.A. Alade, alifariki  Januari 16 mwaka huu na binti yake huyo ambaye ni mtunzi wa wimbo maarufu wa ‘Johnny’, hajasema mengi kuhusiana na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani