Siku ya wauguzi duniani: Watu wanaohatarisha maisha kuwahudumia wagonjwa wa COvid -19
Wauguzi duniani kote wamekuwa wakipambana na janga la corona. Kazi hii ni ngumu sana kwa kuwa wengi wamepoteza maisha kutokana na ugonjwa huu. Katika siku hii, BBC imezungumza na wauguzi wanne kutoka maabara nne wakieleza changamoto katika shughuli hii ya kuwa mstari wa mbele kupambana na Covid-19.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKEq0zL6lrq-jWDR0vdZ5I-T-x*M4Wk38Qdab2YSwApzDcTCrRAOwj9a8FmNBfx0RLbqQ8P*5kPcrYrv2smfuwS/nesiiiii2.jpg?width=650)
JK AUNGANA NA WAUGUZI KUSHEREHEKEA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI JIJINI ARUSHA JANA
Baadhi ya Wauguzi wakila kiapo cha uaminifu na kutunza siri za wagonjwa wakati wa maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani yaliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha jana
Baadhi ya wauguzi waliohudhuria sherehe za siku ya wauguzi duniani wakifuatilia kwa makini Hotuba ya mgeni rasmi Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mjini Arusha jana…
...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s72-c/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuwahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s640/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
(JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza jambo wakati alipotembelea kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuona namna ambavyo madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo watakavyoweza kutoa huduma kwa wagonjwa hao.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/3c2cd5fd-6b2b-42d2-be30-a77349e8dea5.jpg)
Msimamizi wa kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) Dkt. Stanley Binagi akielezea...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eCfKKlla34A/U3DPUh3p4BI/AAAAAAAFhIU/Nten_VTLhRE/s72-c/unnamed+(42).jpg)
ZANZIBAR YAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-eCfKKlla34A/U3DPUh3p4BI/AAAAAAAFhIU/Nten_VTLhRE/s1600/unnamed+(42).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_6ga3w1vZkU/U3DPU2gLXPI/AAAAAAAFhIw/ylApsW6lHEE/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-r-qgL4eO0Pk/U3DPU_2hceI/AAAAAAAFhIY/ZoqhUXAwPc8/s1600/unnamed+(44).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p0skiUrWc0Q/Xrrh6mgVgEI/AAAAAAALp98/xKU-BD6MNXIIQbCTGPCKW1sQcdBDsochwCLcBGAsYHQ/s72-c/432px-Florence_Nightingale_%2528H_Hering_NPG_x82368%2529.jpg)
FLORENCE NIGHTINGALE, MUASISI WA SIKU YA WAUGUZI NA WAKUNGA DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-p0skiUrWc0Q/Xrrh6mgVgEI/AAAAAAALp98/xKU-BD6MNXIIQbCTGPCKW1sQcdBDsochwCLcBGAsYHQ/s400/432px-Florence_Nightingale_%2528H_Hering_NPG_x82368%2529.jpg)
LEO MEI 12 dunia inasherehekea siku ya Wauguzi na wakunga duniani huku umuhimu na mchango mkubwa wao katika sekta ya afya ukigusa mamilioni ya wananchi hasa wanawake.
Muasisi wa siku hii adhimu kwa wauguzi na wakunga ni Florence Nightingale; "Mwanamke wa Taa" ambaye alisimama kidete katika kuinua viwango vya uuguzi pamoja kuwaelimisha Wauguzi.
Harakati zake zilianza baada ya kufika nchini Uturuki mwaka 1854 ambapo nchi hiyo ilikuwa katika vita ya Krimea, Florence...
5 years ago
CCM BlogMAKAMU WA RAIS CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) ATOA NENO KATIKA SIKU YA KUMBUKIZI YA KUZALIWA MWASISI WA UUGUZI DUNIANI
Niwaase Wasanii na watu wengine maarufu kuwa mstari wa mbele katika kuelimisha jamii kwenda kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya badala ya kuwatisha kuwa Wauguzi ni watu wabaya Kama alivyofanya msanii mmoja hivi alipomwambia mke wake wakati anaenda...
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Jinsi msako wa watu waliokaribiana na wagonjwa unavyofanyika duniani
Mamilioni ya watu Uingereza hivi karibuni watahitajika kupakua programu ya kusaidia kupunguza usambaaji wa virusi vya corona
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Uu7t-Du3Nhk/XoBRdbwvdaI/AAAAAAAC1-8/x6-_V_UC0pgvIknfORlFA2jhGPALdZYggCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA KIBAHA ILIYOTENGWA KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uu7t-Du3Nhk/XoBRdbwvdaI/AAAAAAAC1-8/x6-_V_UC0pgvIknfORlFA2jhGPALdZYggCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rSsEH6C4fDw/XoBRT3aaDtI/AAAAAAALlcM/9-eqc3r5xlUkBU3EmdrkMUrfZ7iBaH5xACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_7608AAA-768x512.jpg)
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI WILAYA YA KIBAHA ILIYOTENGWA KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rSsEH6C4fDw/XoBRT3aaDtI/AAAAAAALlcM/9-eqc3r5xlUkBU3EmdrkMUrfZ7iBaH5xACLcBGAsYHQ/s640/PMO_7608AAA-768x512.jpg)
Waziri Mkuu, Kaasim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (wa tatu kulia) wakati alipokagua hospitali ya wilaya ya kibaha iliyopo eneo la Lulanzi ambayo imetengwa kwa ajili ya kuwahuduma kwa wagonjwa wa Coroma, Machi 28, 2020. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo na wa pili kushoto ni Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Muhammad Bakari.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_7625AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_7628AAAA-1024x697.jpg)
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Siku ya akinababa duniani: Maisha ya baba muendeshapikipiki anayelea watoto wadogo peke yake
Kennedy Mwangi Washira ni baba Mwendeshapikipiki anaewalea watoto wawili baada ya kuachwa na mke wake ambaye alikua mlevi wa kupindukia. Katika siku ya hii ya Baba au Akinababa duniani, amezungumza na BBC huhusu maisha yake ya malezi na kutoa ushauri akinababa wengine wanaopitia changamoto za kuwalea watoto wao peke yao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania