ZANZIBAR YAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-eCfKKlla34A/U3DPUh3p4BI/AAAAAAAFhIU/Nten_VTLhRE/s72-c/unnamed+(42).jpg)
Wauguzi wa Zanzibar wakila kiapo cha Utii katika maadhisho ya siku ya wauguzi Duniani inayoadhimishwa kila ifikapo tarehe 12 Mei. Maadhimisho hayo yalifanyika Hospitali ya wagonjwa wa akili Kidongochekundu
Wauguzi wa Zanzibar wakiimba nyimbo ya siku ya wauguzi Duniani katika maadhimisho yaliyofanyika Hospitali ya wagonjwa wa akili Kidongochekundu.
Muuguzi Mkuu Kiongozi wa Zanzibar Bi. Wanu Bakari Khamis akisoma risala ya siku ya wauguzi Duniani katika maadhimisho yaliyofanyika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziZANZIBAR YAADHIMISHA SIKU YA WAZEE DUNIANI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vn4ogTail70/UvJ4M8m5c8I/AAAAAAAFLBg/aXxSbqv4inM/s72-c/unnamed+(37).jpg)
ZANZIBAR YAADHIMISHA SIKU YA KANSA DUNIANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-vn4ogTail70/UvJ4M8m5c8I/AAAAAAAFLBg/aXxSbqv4inM/s1600/unnamed+(37).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xY8PCJvKbus/UvJ4NkAABxI/AAAAAAAFLBs/ZT3_wCysK2M/s1600/unnamed+(38).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cBtij3tRcDg/UvJ4Np-38TI/AAAAAAAFLBk/T67txJl697U/s1600/unnamed+(39).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKEq0zL6lrq-jWDR0vdZ5I-T-x*M4Wk38Qdab2YSwApzDcTCrRAOwj9a8FmNBfx0RLbqQ8P*5kPcrYrv2smfuwS/nesiiiii2.jpg?width=650)
JK AUNGANA NA WAUGUZI KUSHEREHEKEA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI JIJINI ARUSHA JANA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PEvZyn05XD4/Uy9CbiLNWiI/AAAAAAAFVyc/4jxSZumrULA/s72-c/unnamed+(91).jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA ZANZIBAR YAADHIMISHA SIKU YA MAMLAKA HIYO DUNIANI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p0skiUrWc0Q/Xrrh6mgVgEI/AAAAAAALp98/xKU-BD6MNXIIQbCTGPCKW1sQcdBDsochwCLcBGAsYHQ/s72-c/432px-Florence_Nightingale_%2528H_Hering_NPG_x82368%2529.jpg)
FLORENCE NIGHTINGALE, MUASISI WA SIKU YA WAUGUZI NA WAKUNGA DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-p0skiUrWc0Q/Xrrh6mgVgEI/AAAAAAALp98/xKU-BD6MNXIIQbCTGPCKW1sQcdBDsochwCLcBGAsYHQ/s400/432px-Florence_Nightingale_%2528H_Hering_NPG_x82368%2529.jpg)
LEO MEI 12 dunia inasherehekea siku ya Wauguzi na wakunga duniani huku umuhimu na mchango mkubwa wao katika sekta ya afya ukigusa mamilioni ya wananchi hasa wanawake.
Muasisi wa siku hii adhimu kwa wauguzi na wakunga ni Florence Nightingale; "Mwanamke wa Taa" ambaye alisimama kidete katika kuinua viwango vya uuguzi pamoja kuwaelimisha Wauguzi.
Harakati zake zilianza baada ya kufika nchini Uturuki mwaka 1854 ambapo nchi hiyo ilikuwa katika vita ya Krimea, Florence...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1lulkfTMw34/VWgbNQo2A3I/AAAAAAAC5Kg/pfSVQy1uRgg/s72-c/Picture%2B3.jpg)
Tanzania yaadhimisha siku ya hedhi duniani
Akizungumza katika maadhimisho hayo jana jijini Dar es Salaam, Ofisa Elimu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Madina Kemilembe, alisema kukosekana kwa miundombinu rafiki mashuleni kunasababisha wanafunzi kutohudhuria masomo.
Alisema ukosefu wa mazingira bora kama vyoo, maji safi...
10 years ago
GPLDAR YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA VIJANA DUNIANI
5 years ago
BBCSwahili12 May
Siku ya wauguzi duniani: Watu wanaohatarisha maisha kuwahudumia wagonjwa wa COvid -19