JK AUNGANA NA WAUGUZI KUSHEREHEKEA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI JIJINI ARUSHA JANA
![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKEq0zL6lrq-jWDR0vdZ5I-T-x*M4Wk38Qdab2YSwApzDcTCrRAOwj9a8FmNBfx0RLbqQ8P*5kPcrYrv2smfuwS/nesiiiii2.jpg?width=650)
Baadhi ya Wauguzi wakila kiapo cha uaminifu na kutunza siri za wagonjwa wakati wa maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani yaliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha jana Baadhi ya wauguzi waliohudhuria sherehe za siku ya wauguzi duniani wakifuatilia kwa makini Hotuba ya mgeni rasmi Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mjini Arusha jana… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-11GLPQdzfqQ/U3CXr_p2fnI/AAAAAAAFhDU/0rhGV5hjeOo/s72-c/unnamed+(4).jpg)
Wauguzi Washerekea siku yao leo jijini Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-11GLPQdzfqQ/U3CXr_p2fnI/AAAAAAAFhDU/0rhGV5hjeOo/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cQ7aTEUSINA/U3CXtd8T3uI/AAAAAAAFhDc/2w6SKqXqXag/s1600/unnamed+(5).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b2nt7Ptgdew/U3hhc-lVV3I/AAAAAAAFjYo/UMz5i-bYtP4/s72-c/unnamed+(11).jpg)
Wauguzi wilaya ya Hanang' waadhimisha siku yao jana
![](http://2.bp.blogspot.com/-b2nt7Ptgdew/U3hhc-lVV3I/AAAAAAAFjYo/UMz5i-bYtP4/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jt2Ba4WgdGw/U3hhd-xTe4I/AAAAAAAFjYs/V2xrN2afnng/s1600/unnamed+(12).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eCfKKlla34A/U3DPUh3p4BI/AAAAAAAFhIU/Nten_VTLhRE/s72-c/unnamed+(42).jpg)
ZANZIBAR YAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-eCfKKlla34A/U3DPUh3p4BI/AAAAAAAFhIU/Nten_VTLhRE/s1600/unnamed+(42).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_6ga3w1vZkU/U3DPU2gLXPI/AAAAAAAFhIw/ylApsW6lHEE/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-r-qgL4eO0Pk/U3DPU_2hceI/AAAAAAAFhIY/ZoqhUXAwPc8/s1600/unnamed+(44).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p0skiUrWc0Q/Xrrh6mgVgEI/AAAAAAALp98/xKU-BD6MNXIIQbCTGPCKW1sQcdBDsochwCLcBGAsYHQ/s72-c/432px-Florence_Nightingale_%2528H_Hering_NPG_x82368%2529.jpg)
FLORENCE NIGHTINGALE, MUASISI WA SIKU YA WAUGUZI NA WAKUNGA DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-p0skiUrWc0Q/Xrrh6mgVgEI/AAAAAAALp98/xKU-BD6MNXIIQbCTGPCKW1sQcdBDsochwCLcBGAsYHQ/s400/432px-Florence_Nightingale_%2528H_Hering_NPG_x82368%2529.jpg)
LEO MEI 12 dunia inasherehekea siku ya Wauguzi na wakunga duniani huku umuhimu na mchango mkubwa wao katika sekta ya afya ukigusa mamilioni ya wananchi hasa wanawake.
Muasisi wa siku hii adhimu kwa wauguzi na wakunga ni Florence Nightingale; "Mwanamke wa Taa" ambaye alisimama kidete katika kuinua viwango vya uuguzi pamoja kuwaelimisha Wauguzi.
Harakati zake zilianza baada ya kufika nchini Uturuki mwaka 1854 ambapo nchi hiyo ilikuwa katika vita ya Krimea, Florence...
5 years ago
BBCSwahili12 May
Siku ya wauguzi duniani: Watu wanaohatarisha maisha kuwahudumia wagonjwa wa COvid -19
5 years ago
CCM BlogMAKAMU WA RAIS CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) ATOA NENO KATIKA SIKU YA KUMBUKIZI YA KUZALIWA MWASISI WA UUGUZI DUNIANI
Niwaase Wasanii na watu wengine maarufu kuwa mstari wa mbele katika kuelimisha jamii kwenda kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya badala ya kuwatisha kuwa Wauguzi ni watu wabaya Kama alivyofanya msanii mmoja hivi alipomwambia mke wake wakati anaenda...
10 years ago
MichuziSIKU YA YOGA DUNIANI KIMATAIFA ILIYOFANYIKA KATIKA FUKWE ZA KOKOBICHI JIJINI DAR JANA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FPEdH34yDEk/Xr6rqEXYkqI/AAAAAAALqXs/nIGDFOEvmUI55_f5hqQa9HWCtT3yn9AHgCLcBGAsYHQ/s72-c/79ba0279-5774-43d0-822b-299b8a6b1764.jpg)
NAIBU SPIKA MGENI RASMI KATIKA MAADHIMISHO YA KILELE CHA WIKI YA WAUGUZI JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FPEdH34yDEk/Xr6rqEXYkqI/AAAAAAALqXs/nIGDFOEvmUI55_f5hqQa9HWCtT3yn9AHgCLcBGAsYHQ/s640/79ba0279-5774-43d0-822b-299b8a6b1764.jpg)
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akizungumza wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya Wauguzi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge na kushoto kwake ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo, Dkt. Ernest Ebenzi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/384fd087-df37-4475-98d6-b667ea33235e.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mpBrbnQSzwA/VXv_vOtxZaI/AAAAAAAHfKg/X-EpQfHUemw/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
JK aongoza maadhimisho ya siku ya watu wenye Albinism Duniani leo jijini Arusha.
![](http://3.bp.blogspot.com/-mpBrbnQSzwA/VXv_vOtxZaI/AAAAAAAHfKg/X-EpQfHUemw/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FI1O0OVJbJ0/VXv_uyD3kOI/AAAAAAAHfKc/vIM5DJo_iTw/s640/unnamed%2B%252839%2529.jpg)