Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zari: Sijawatelekeza watoto wangu, ninakaa nao siku 300, baba yao siku 65

Mrs Diamond Platnumz, Zari Ttale aka The Bosslady amesema hajawatelekeza watoto wake tofauti na watu wengi wanavyomshutumu kwakuwa siku za hivi karibuni amekuwa akiongozana na mpenzi wake huyo mpya. Zari amesema katika mwaka hukaa na wanae kwa siku 300 na zingine zilizosalia hukaa kwa baba yao ambaye walishaachana. “That awkward moment when everyone thinks you […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Siku ya akinababa duniani: Maisha ya baba muendeshapikipiki anayelea watoto wadogo peke yake

Kennedy Mwangi Washira ni baba Mwendeshapikipiki anaewalea watoto wawili baada ya kuachwa na mke wake ambaye alikua mlevi wa kupindukia. Katika siku ya hii ya Baba au Akinababa duniani, amezungumza na BBC huhusu maisha yake ya malezi na kutoa ushauri akinababa wengine wanaopitia changamoto za kuwalea watoto wao peke yao.

 

10 years ago

GPL

RIYAMA: NIMEMPITA BABA WATOTO WANGU MIAKA 10

Staa mkali wa filamu Bongo, Riyama Ally akiwa na mwanaye aitwaye Fatma. Na Imelda Mtema/Amani STAA mkali wa filamu za Bongo, Riyama Ally amefunguka kwa kinywa chake kuwa baba aliyezaa naye mtoto wake wa kike aitwaye Fatma, amempita takriban miaka 10. Riyama alizungumza hayo alipokuwa akihojiwa katika kipindi kimoja cha TV na kusema kuwa hakuna chochote kinachohusiana na umri katika suala la mapenzi kwa sababu ingekuwa kuna...

 

11 years ago

GPL

WATOTO NJITI MAPACHA WATELEKEZWA NA BABA YAO

Fatuma Hussein akiwa na watoto wake mapacha. Watoto mapacha wakiwa wamelala. Rahma akiwa kalala.…

 

10 years ago

GPL

WATOTO WAMWOKOTA BABA YAO AKIWA AMECHINJWA

Stori: Haruni Sanchawa na Gabriel Ng’osha
MFANYABIASHARA aliyefahamika kwa jina la Melasi Lutebula Ndabi ambaye pia alikuwa Mwenyekiti wa  Kamati ya Ulinzi  na Usalama Mtaa wa Muhimbili 2, Kata ya Pemba, Wilaya ya Temeke jijini Dar, ameuawa kwa kuchinjwa na watu  wanaodaiwa kufika kwake kwa ajili ya kukodi shamba la kulima matikiti. Mwili wa Melasi Lutebula Ndabi ukiwa umetupwa baada ya kuchinjwa. Habari...

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto wadaiwa kumuua baba yao Kagera

Polisi Wilaya ya Kyerwa, Mkoa wa Kagera wanawashikilia watoto watatu wa Kijiji cha Mkunyu, Kata ya Kikukuru wilayani Kyerwa kwa tuhuma za kumuua baba yao, Henry Siliakus (62) kutokana na mgogoro wa kifamilia.

 

10 years ago

Habarileo

Watoto wamuua baba yao kwa fimbo

JESHI la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watoto watatu, kwa tuhuma za kumpiga fimbo kichwani baba yao mzazi na kumsababishia kifo. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, Gilles Muroto, alisema tukio hilo ni la mwezi Septemba 15, mwaka huu katika Kijiji cha Mkunyu Kata ya Kikukuru Tarafa ya Mabira wilayani Kyerwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba 300,000/- kwa siku

HATIMAYE serikali imeweka hadharani kwamba kila mjumbe katika Bunge la Katiba ataweka kibindoni posho ya sh 300,000 kwa siku. Kwa maana hiyo, kila mjumbe katika Bunge hilo atakuwa amelipwa sh...

 

10 years ago

Bongo5

Usikie wimbo wa Pacquiao atakaoingia nao siku ya pambano lake na Mayweather

Manny Pacquiao hataki kuingia na wimbo wa msanii mwingine siku atakayopanda ulingoni kuzichapa na Floyd Mayweather. Bondia huyo wa Ufilipino ametunga wimbo wake mwenyewe. Wimbo huo alioimba kwa hisia kali unawatia moyo moyo wafilipino waishio katika maisha magumu. Pambano lao litapigwa May 2 jijini Las Vegas.

 

10 years ago

Mwananchi

Mama wa watoto waliobakwa na baba yao apata vitisho

>Siku chache baada ya baba aliyedaiwa kubaka watoto wake wawili wakazi wa wa Miembe Saba wilayani Kibaha mkoani Pwani kutiwa mbaroni na polisi, mama wa watoto waliokuwa wakitendewa unyama huo ameanza kupokea vitisho kutoka kwa  baadhi ya ndugu wa mume wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani