Zari: Sijawatelekeza watoto wangu, ninakaa nao siku 300, baba yao siku 65
Mrs Diamond Platnumz, Zari Ttale aka The Bosslady amesema hajawatelekeza watoto wake tofauti na watu wengi wanavyomshutumu kwakuwa siku za hivi karibuni amekuwa akiongozana na mpenzi wake huyo mpya. Zari amesema katika mwaka hukaa na wanae kwa siku 300 na zingine zilizosalia hukaa kwa baba yao ambaye walishaachana. “That awkward moment when everyone thinks you […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Siku ya akinababa duniani: Maisha ya baba muendeshapikipiki anayelea watoto wadogo peke yake
10 years ago
GPLRIYAMA: NIMEMPITA BABA WATOTO WANGU MIAKA 10
11 years ago
GPLWATOTO NJITI MAPACHA WATELEKEZWA NA BABA YAO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouupBUNMnXESCNwILIk*GRn1iGtAtkVREIk0GiOPyfmXxJntqmuKxR1xRyyDUKQnS5MnikyGKWl7iRtbUG1gYWBDK/_NISHEEDAH.jpg)
WATOTO WAMWOKOTA BABA YAO AKIWA AMECHINJWA
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Watoto wadaiwa kumuua baba yao Kagera
10 years ago
Habarileo19 Sep
Watoto wamuua baba yao kwa fimbo
JESHI la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watoto watatu, kwa tuhuma za kumpiga fimbo kichwani baba yao mzazi na kumsababishia kifo. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, Gilles Muroto, alisema tukio hilo ni la mwezi Septemba 15, mwaka huu katika Kijiji cha Mkunyu Kata ya Kikukuru Tarafa ya Mabira wilayani Kyerwa.
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Bunge la Katiba 300,000/- kwa siku
HATIMAYE serikali imeweka hadharani kwamba kila mjumbe katika Bunge la Katiba ataweka kibindoni posho ya sh 300,000 kwa siku. Kwa maana hiyo, kila mjumbe katika Bunge hilo atakuwa amelipwa sh...
10 years ago
Bongo516 Apr
Usikie wimbo wa Pacquiao atakaoingia nao siku ya pambano lake na Mayweather
10 years ago
Mwananchi28 Mar
Mama wa watoto waliobakwa na baba yao apata vitisho