WATOTO NJITI MAPACHA WATELEKEZWA NA BABA YAO
Fatuma Hussein akiwa na watoto wake mapacha. Watoto mapacha wakiwa wamelala. Rahma akiwa kalala.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMAMA WA WATOTO NJITI MAPACHA ASHUKURU WALIOMSAIDIA
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Siku ya Mtoto Njiti Duniani: Huduma za gharama nafuu zenye ufanisi katika kuzuia vifo vya watoto njiti Tanzania, inasema UNICEF na wadau wengine
World Prematurity Day press release – SWA FINAL Nov 17 2014.docx by moblog
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouupBUNMnXESCNwILIk*GRn1iGtAtkVREIk0GiOPyfmXxJntqmuKxR1xRyyDUKQnS5MnikyGKWl7iRtbUG1gYWBDK/_NISHEEDAH.jpg)
WATOTO WAMWOKOTA BABA YAO AKIWA AMECHINJWA
10 years ago
Habarileo19 Sep
Watoto wamuua baba yao kwa fimbo
JESHI la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watoto watatu, kwa tuhuma za kumpiga fimbo kichwani baba yao mzazi na kumsababishia kifo. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, Gilles Muroto, alisema tukio hilo ni la mwezi Septemba 15, mwaka huu katika Kijiji cha Mkunyu Kata ya Kikukuru Tarafa ya Mabira wilayani Kyerwa.
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Watoto wadaiwa kumuua baba yao Kagera
10 years ago
Mwananchi28 Mar
Mama wa watoto waliobakwa na baba yao apata vitisho
9 years ago
StarTV06 Jan
Watoto waporwa nyumba Mbarali kwa madai ya deni la baba yao
Watoto watano wa familia moja wilayani Mbarali mkoani Mbeya wanaiomba Serikali kuingilia kati mgogoro kati yao na mfanyabiashara mmoja anayemdai baba yao shilingi Milioni 1.2 kwa kupora nyumba na kuisambaratisha familia hiyo.
Tukio hilo limetokea katika kijiji cha Mpakani kata ya Ubariku ambapo baba na mama wa familia hiyo walitengana mwaka 2008 na mahakama kuamuru nyumba hiyo kubaki mikononi mwa watoto.
Wakizungumza kijijini hapo watoto hao hussein mwataga na Zaveria Mwataga wameomba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WIItuHl8V5U/XqBMAVj-J0I/AAAAAAALn1Y/DoZ7gXc8tY8Y0ygI40tnP3QkiBEWK_DLQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0122.jpg)
WATOTO WAMJIA JUU BABA YAO MZAZI BAADA YA KUTAKA KUUZA ARDHI YAKE ILIYOKO ENEO LA KIJENGE JIJINI ARUSHA
Na Woinde Shizza ,ARUSHA
MGOGORO wa kugombea mali ikiwemo ardhi na majengo umeibuka katika familia ya Mzee Saimon Kamakia mara baada ya watoto wa mzee huyo kumtuhumu baba yao kutaka kuwapora ardhi ambayo waliachiwa urithi baada ya marehemu mama yao, kufariki dunia.
Kuibuka kwa mgogoro huo umeonekana umevuta hisia za wakazi wa eneo la Kijenge na ndani ya Jiji la Arusha na umesababisha kuvuruga amani ndani ya familia hiyo.
Baadhi ya watoto wa Mzee Kamakia akiwemo Nusin Kamakia walidai hatua ya...
10 years ago
Bongo509 Jan
Zari: Sijawatelekeza watoto wangu, ninakaa nao siku 300, baba yao siku 65