Mama wa watoto waliobakwa na baba yao apata vitisho
>Siku chache baada ya baba aliyedaiwa kubaka watoto wake wawili wakazi wa wa Miembe Saba wilayani Kibaha mkoani Pwani kutiwa mbaroni na polisi, mama wa watoto waliokuwa wakitendewa unyama huo ameanza kupokea vitisho kutoka kwa baadhi ya ndugu wa mume wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Watoto wadaiwa kumuua baba yao Kagera
11 years ago
GPLWATOTO NJITI MAPACHA WATELEKEZWA NA BABA YAO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouupBUNMnXESCNwILIk*GRn1iGtAtkVREIk0GiOPyfmXxJntqmuKxR1xRyyDUKQnS5MnikyGKWl7iRtbUG1gYWBDK/_NISHEEDAH.jpg)
WATOTO WAMWOKOTA BABA YAO AKIWA AMECHINJWA
10 years ago
Habarileo19 Sep
Watoto wamuua baba yao kwa fimbo
JESHI la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watoto watatu, kwa tuhuma za kumpiga fimbo kichwani baba yao mzazi na kumsababishia kifo. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, Gilles Muroto, alisema tukio hilo ni la mwezi Septemba 15, mwaka huu katika Kijiji cha Mkunyu Kata ya Kikukuru Tarafa ya Mabira wilayani Kyerwa.
9 years ago
StarTV06 Jan
Watoto waporwa nyumba Mbarali kwa madai ya deni la baba yao
Watoto watano wa familia moja wilayani Mbarali mkoani Mbeya wanaiomba Serikali kuingilia kati mgogoro kati yao na mfanyabiashara mmoja anayemdai baba yao shilingi Milioni 1.2 kwa kupora nyumba na kuisambaratisha familia hiyo.
Tukio hilo limetokea katika kijiji cha Mpakani kata ya Ubariku ambapo baba na mama wa familia hiyo walitengana mwaka 2008 na mahakama kuamuru nyumba hiyo kubaki mikononi mwa watoto.
Wakizungumza kijijini hapo watoto hao hussein mwataga na Zaveria Mwataga wameomba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvu4V3s8svnXnW4te-*ML60f3O9oE7S141Q52tVGCjvf-EVlrTFOTp2XvQqdQrAcv8rxJ1SSsdLc5mhgpi6o5r9C/Mafia.jpg?width=650)
WATOTO 3 WALIOFUNGIWA MIAKA 10 NA MAMA YAO MWINGINE TAABANI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Bbr0Rytafis/VC_mvLa1nuI/AAAAAAAAQaU/pKIqY71TKtA/s72-c/generator-carbon-monoxide-deaths-lagos-nigeria.jpg)
JENERETA LAWAUA BABA, MAMA NA WATOTO WOTE
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bbr0Rytafis/VC_mvLa1nuI/AAAAAAAAQaU/pKIqY71TKtA/s640/generator-carbon-monoxide-deaths-lagos-nigeria.jpg)
![](http://habari.mipasho.com/wp-content/uploads/sites/2/2014/10/generator-carbon-monoxide-deaths-lagos-nigeria-1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaeRfFLzwWDuBpIvq1WtcTkZPSEbaSsXt-7D75fGJfNGIjBhKO5HXYJP8FAOpPXQ9z5f2CU3x7O-ncB16Du-p6F2/murder.jpg)
WATOTO WAUA BABA, MAMA KATIKA MATUKIO TOFAUTI NIGERIA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WIItuHl8V5U/XqBMAVj-J0I/AAAAAAALn1Y/DoZ7gXc8tY8Y0ygI40tnP3QkiBEWK_DLQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0122.jpg)
WATOTO WAMJIA JUU BABA YAO MZAZI BAADA YA KUTAKA KUUZA ARDHI YAKE ILIYOKO ENEO LA KIJENGE JIJINI ARUSHA
Na Woinde Shizza ,ARUSHA
MGOGORO wa kugombea mali ikiwemo ardhi na majengo umeibuka katika familia ya Mzee Saimon Kamakia mara baada ya watoto wa mzee huyo kumtuhumu baba yao kutaka kuwapora ardhi ambayo waliachiwa urithi baada ya marehemu mama yao, kufariki dunia.
Kuibuka kwa mgogoro huo umeonekana umevuta hisia za wakazi wa eneo la Kijenge na ndani ya Jiji la Arusha na umesababisha kuvuruga amani ndani ya familia hiyo.
Baadhi ya watoto wa Mzee Kamakia akiwemo Nusin Kamakia walidai hatua ya...