JENERETA LAWAUA BABA, MAMA NA WATOTO WOTE
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bbr0Rytafis/VC_mvLa1nuI/AAAAAAAAQaU/pKIqY71TKtA/s72-c/generator-carbon-monoxide-deaths-lagos-nigeria.jpg)
Mwili wa mama, na wa mmoja wa watoto unaonekana kwa mbali nyuma yakeMume, mke na watoto wao watatu wamefariki dunia baada ya kupumua hewa iliyojaa gesi ya “carbon monoxide” iliyokuwa ikitolewa na generator waliloliwasha ndani ya nyumba yao .Katika dhahama hiyo iliyotokea Lagos, Nigeria, miili ya wahanga wote watano iligunduliwa na majirani zao. Majirani wameripoti kuwa baba wa familia hiyo alinunua generator siku mbili kabla ya kukutwa na umauti, na kuliweka chumbani kwake akihofia kuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Mar
Mama wa watoto waliobakwa na baba yao apata vitisho
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaeRfFLzwWDuBpIvq1WtcTkZPSEbaSsXt-7D75fGJfNGIjBhKO5HXYJP8FAOpPXQ9z5f2CU3x7O-ncB16Du-p6F2/murder.jpg)
WATOTO WAUA BABA, MAMA KATIKA MATUKIO TOFAUTI NIGERIA
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Shambulizi lawaua watoto 6 Libya
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JSexxhkX_nQ/Xk52UGVhgsI/AAAAAAACHyU/XvJU3MiHv0QNtD8S4Axe7rxAKq_MdmORQCLcBGAsYHQ/s72-c/HIJA%2BYA%2BCHANZO%2BHALISI.jpg)
KANISA HALISI LA MUNGU BABA LINAWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE HIJA YA CHANZO HALISI CHA MUNGU BABA, MJINI KIGOMA 26 THEBETI,1(26 APRILI,2020)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JSexxhkX_nQ/Xk52UGVhgsI/AAAAAAACHyU/XvJU3MiHv0QNtD8S4Axe7rxAKq_MdmORQCLcBGAsYHQ/s400/HIJA%2BYA%2BCHANZO%2BHALISI.jpg)
Sauti Mpya(2019) ambayo imetangaza kuwa Tanzania ni Taifa Baba ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo imetangaza kuwa Afrika ni Bara la Nuru ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya zile Sauti Saba ilisikika Kigoma-Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya ishara tatu mbinguni (Ufunuo 12:1-9) ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya Nafsi ya Moyo (Miungu tisa mitakatifu iliyofafanuliwa ndani ya Kitabu) ilisikika...
10 years ago
Vijimambo21 Jun
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXQr-jsmCC*fj3qHULW-io92n7M*fsIyxxRJp*YXnp*rvR-zOKmyjV6*I9BnfCKv73q07ry0G6UN3PVp7jziTvC2/tyy7.jpg?width=650)
SHILOLE: KINA MAMA WOTE NISAMEHENI
10 years ago
Habarileo06 Jun
Serikali kuuza jenereta 32 za msaada
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imetangaza kuuza jenereta 32 ambazo zilitolewa kama msaada na nchi washirika wa maendeleo kwa ajili ya kukabiliana na tatizo la ukosefu wa umeme mwaka 2010.
10 years ago
Habarileo30 Jan
‘Asilimia 90 ya watoto wote wanapata chanjo’
RAIS Jakaya Kikwete amesema asilimia 90 ya watoto wote wa Tanzania sasa wanapata chanjo kutokana na kazi inayofanywa na Taasisi ya Kusambaza Chanjo Duniani ya Global Alliance for Vaccines and Immunisazation (GAVI).
11 years ago
Mtanzania11 Aug
Mama Pinda: Wanawake wote tunataka amani
![Mke wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Tunu-Pinda.jpg)
Mke wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda
NA MWANDISHI WETU, SEOUL
MKE wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda, amesema wanawake wote duniani wanalilia amani na hawapendi vita wala machafuko kwani husababisha amani kutoweka.
Mama Pinda alitoa wito huo jana wakati akitoa mada kama mzungumzaji mkuu kwenye mkutano wa dunia wa siku tano ulioanza Seoul, Korea Kusini jana.
Mkutano huo ambao umeandaliwa na Taasisi ya Universal Peace Federation (UPF) ambayo inatoa ushauri kwenye Baraza...