Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHILOLE: KINA MAMA WOTE NISAMEHENI

BAADA ya wiki kadhaa kupita tangu picha zake zisambae zikimuonesha gauni likiwa limevuka nakuachia ‘nido’ wazi, staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameibuka na kuwaomba radhi kinamama wote.
Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Akipiga stori na Over The Weekend, Shilole alisema kuwa anajua kwamba kitendo hicho kimewakwaza wengi na hakukusudia kufanya jambo kama lile. “Nimejifunza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Leo Ikiwa ni Siku ya Kina Mama Dunia, Hizi ni Jumbe za Baadhi Mastaa wa Bongo Movies kwa Mama Zao

Wema Sepetu

Today Happens to be Mother's Day.... And Since my mummy is the world's best mother it happens to also be her Birthday... Now that is nat just a coincidence, that is a Blessing... I jus get speechless trying to find the right words to say to this woman ryt here... But all in all is I jus wanna let u know on this special day that you are my Rock, my only pillar, the love of my life, you are all I got... And I wish u many more years of Life... I dont know what id do without you......

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wenje: CCM imewatupa vijana, kina mama

MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (CHADEMA), amesema Serikali inayoongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeshindwa kuwathamini vijana na wanawake kitendo kinachosababisha uhalifu. Kauli hiyo, ameitoa juzi wakati wa harambee ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kina mama Kibaha watakiwa kuacha utegemezi

KINA mama nchini wametakiwa kuachana na tabia ya kuwa tegemezi na badala yake  wajiunge katika  vikundi vya ujasiriamali  kwa lengo la kupamabana na umasikini. Rai hiyo ilitolewa mjini hapa jana...

 

11 years ago

Dewji Blog

Hata wazungu wanawatambua kina Mama Lishe!

CSC_0240

Pichani ni Raia wa Kigeni walipokutwa na Camera ya MOblog mjini Iringa wakijipatia mlo wa mchana kwa Mama Lishe wanaofanyabiashara zao ndani ya uzio wa kituo cha Redio Nuru FM.

Pamoja na Halimshauri kuwa nyanyasa watoa huduma za Lishe mitaani kwa kuwafukuza na kuwavunjia vibanda vyao bado watu kama hawa Raia wa kigeni wanawathamani na kutambua umuhimu wao wa kuweka mwili katika Lishe bora.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bongo Movie wasaidia wodi ya kina mama Mwananyamala

BONGO Movie Club wametoa msaada katika wodi ya kina mama na watoto katika Hospitali ya Mwananyamala, Kinondoni jijini Dar es Salaam. Msaada huo wa vitu mbalimbali zikiwamo nguo za watoto,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwanini kina mama walanazimika kuwauza watoto wao Venezuela

Mgogoro wa kiuchumi Venezuela unaosababisha baadhi ya kina mama ambao hawawezi kukidhi mahitaji ya watoto wao kuwatoa ama kwa hiari au kwa kulazimishwa

 

11 years ago

GPL

DELA: VAZI LINALOTAMBA KWA KINA MAMA SEHEMU NYINGI

Vazi lenye staha kama inavyoonekana kwa kina mama hawa.    Wema Sepetu (katikati) na wenzake wakiwa wamejipamba na madela yao.    Mwanadada akimwaga radhi maeneo ya Msasani akiwa kavaa…

 

5 years ago

BBCSwahili

Shambulio Afghanistan: Vifo katika chumba cha kujifungua kina mama vyafikia 24

Idadi ya waliouawa katika shambulio lililotekelezwa na wanamgambo dhidi ya chumba cha kujifungua kina mama nchini Afghanistan imeongezeka na kufikia 24.

 

10 years ago

Vijimambo

M/KITI WA TAWI LA CCM CALIFORNIA ATEMBELEA WODI YA KINA-MAMA HOSPITALI YA MWANANYAMALA

M/kiti tawi la California B. Josephine M. akikabidhi mojawapo ya zawadi na vifaa mbali mbali kwa wamama takribani sitini katika hospitali hiyo iliyopo katika wilaya ya Kinondoni. Bi Josephine alifarijika kwa shukurani tele kutoka kwa akina mama hao waliomshukuru na kufarijika kwa kutembelewa na kiongozi huyo. Ziara ya Bi Josephine ilifanyika mwishoni mwa-mwezi wa pili mwaka huu. 

Ni raha kubwa ilioje mmoja wakina mama akipatiwa blanketi la mtoto kutoka kwa B. Josephine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani