Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kina mama Kibaha watakiwa kuacha utegemezi

KINA mama nchini wametakiwa kuachana na tabia ya kuwa tegemezi na badala yake  wajiunge katika  vikundi vya ujasiriamali  kwa lengo la kupamabana na umasikini. Rai hiyo ilitolewa mjini hapa jana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Salma Kikwete aonya wanawake kuacha utegemezi

Salma Kikwete, ambaye ni mke wa Rais Jakaya Kikwete, amewaonya wanawake nchini kuacha utegemezi kwa waume wao badala yake wajenge utamaduni wa kujitegemea kiuchumi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Leo Ikiwa ni Siku ya Kina Mama Dunia, Hizi ni Jumbe za Baadhi Mastaa wa Bongo Movies kwa Mama Zao

Wema Sepetu

Today Happens to be Mother's Day.... And Since my mummy is the world's best mother it happens to also be her Birthday... Now that is nat just a coincidence, that is a Blessing... I jus get speechless trying to find the right words to say to this woman ryt here... But all in all is I jus wanna let u know on this special day that you are my Rock, my only pillar, the love of my life, you are all I got... And I wish u many more years of Life... I dont know what id do without you......

 

5 years ago

Michuzi

BUNDALA AWAASA WANACCM KONGOWE ,KIBAHA KUACHA SIASA ZA MAJUNGU ILI KUKIIMARISHA CHAMA

NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Kibaha Mjini ,Pwani ,Maulid Bundala amewaasa baadhi ya wanachama wa CCM Kongowe na Kibaha kijumla kuachana na siasa za majungu na badala yake wajenge umoja ,upendo na mshikamano ili kukiimarisha chama.

Aidha amekemea kupitapita kwa baadhi ya watu wenye nia ya kugombea nafasi za udiwani na ubunge na kudai atakaebainika kupitapita kuanza kampeni kabla ya wakati atachukuliwa hatua .

Akipokea taarifa ya utekelezaji ya ilani kata ya...

 

10 years ago

Habarileo

Wasimamizi watakiwa kuacha upendeleo

OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa ya Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imewataka wasimamizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, kuacha upendeleo kwa wagombea, ushabiki wa kisiasa kwa vyama vya siasa ama wagombea wa vyama na hivyo kutakiwa kuwashirikisha wadau wa uchaguzi hasa viongozi wa vyama vya siasa vilivyopo katika maeneo yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Watakiwa kuacha huduma za uzazi

 Ili kupunguza maambukizi ya virusi vya Ukimwi (VVU) kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, waganga wa jadi na tiba asilia wameombwa kujiepusha na utoaji huduma za uzazi kwa lengo la kujipatia fedha.

 

10 years ago

Habarileo

Madereva watakiwa kuacha kulewa

MADEREVA nchini wametakiwa kuzingatia sheria za barabarani, kutotumia vinywaji vyenye kilevi na kuacha tabia ya kuongea na simu au kutuma na kupokea ujumbe wa maneno (sms) wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto.

 

9 years ago

StarTV

Watanzania watakiwa kuacha ubinafsi

Watanzania wametakiwa kuachana na ubinafsi na badala yake kuishi kama ndugu ikiwa ni pamoja na kusaidiana ili kuifanya Tanzania kuendelea kuwa Taifa lenye mshikamano barani Afrika.

Kauli hiyo imetolewa na Askofu Rogathe Swai wa Kanisa la Kinondoni Rivavil mara baada ya kushuhudiwa matukio tofauti ya kifisadi na rushwa yaliyojitokeza mwaka jana ikiwemo baadhi ya Watanzania kutuhumiwa kuficha fedha nje ya Nchi.

Katika ibada ya kuimba na kumsifu Mungu ambayo imefanyika kwenye kanisa la Revival...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Vijana Kibaha watakiwa kugombea uongozi

NA MWANDISHI WETU
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Kibaha Mjini, kimewataka vijana kuthubutu kujitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika ucaguzi ujao wa Chama na serikali.
Mwenyekiti wa UVCCM Kibaha Mjini, Idd Kanyalu, aliyasema hayo juzi,  katika eneo la Mzizizma  Zegereni, kata ya Visiga, alipokuwa akizungumza na wananchi, wakati wa ziara ya kamati ya maboresho inayolenga kukagua uhai wa jumuia hiyo.
Kanyalu aliwaasa vijana hao kujipanga kwenye mchakato wa uchaguzi...

 

11 years ago

Habarileo

Watumishi watakiwa kuacha ugonjwa wa vikao

WATUMISHI wa umma kuanzia ngazi za Serikali za Mitaa hadi Serikali Kuu, wametakiwa kuacha ‘ugonjwa’ wa vikao, badala yake wakae ofisini kuwatumikia wananchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani