BUNDALA AWAASA WANACCM KONGOWE ,KIBAHA KUACHA SIASA ZA MAJUNGU ILI KUKIIMARISHA CHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OFgX-QWRgUg/XufjyZNVCkI/AAAAAAALt98/thyngRm11GAlGARfulqXv__LDyzcYmELACLcBGAsYHQ/s72-c/photo.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Kibaha Mjini ,Pwani ,Maulid Bundala amewaasa baadhi ya wanachama wa CCM Kongowe na Kibaha kijumla kuachana na siasa za majungu na badala yake wajenge umoja ,upendo na mshikamano ili kukiimarisha chama.
Aidha amekemea kupitapita kwa baadhi ya watu wenye nia ya kugombea nafasi za udiwani na ubunge na kudai atakaebainika kupitapita kuanza kampeni kabla ya wakati atachukuliwa hatua .
Akipokea taarifa ya utekelezaji ya ilani kata ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0uGBmk6YxPg/VIGOHP2LlFI/AAAAAAAG1YY/1-2TfyHhPKY/s72-c/232.jpg)
Balozi Seif Idd awaasa wana CCM Zanzibar kuacha tabia ya kupuuza mambo yanayowahusu,ili wasije jutia baadae
![](http://4.bp.blogspot.com/-0uGBmk6YxPg/VIGOHP2LlFI/AAAAAAAG1YY/1-2TfyHhPKY/s1600/232.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MkU5lRy3sXU/VIGOHMdm1CI/AAAAAAAG1Yg/DHC8sJj02HE/s1600/224.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/iaY6lIqlQu0/default.jpg)
10 years ago
GPL01 Feb
MWENYEKITI WA CCM DK. JAKAYA KIKWETE AWAASA WANACCM KUIPIGIA KURA RASIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA
10 years ago
MichuziLOWASSA- NAWAPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA NAPE KWA KAZI KUBWA WANAYOIFANYA YA KUKIIMARISHA CHAMA
9 years ago
StarTV20 Aug
URAIS 2015: Dokta Magufuli awataka wanaCCM kuacha tofauti zao
Mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi CCM Dokta John Magufuli amesema wanachama wa chama hicho hawana haja tena ya kutofautiana kauli baada ya hatua za kuwapata wagombe wa kupeperusha bendera za chama hicho kukamilika.
Dokta Magufuli amesema hatua iliyo mbele ya chama hicho kwa sasa ni kufanya kampeni zenye tija katika harakati za kuhakikisha CCM inaendelea kuwa chama tawala nchini.
Kukutana na wazee na wanachama wa chama cha mapinduzi mkoa wa Dar es salaam ni tamaduni iliyojengeka...
11 years ago
GPLMKUU WA MKOA AWAASA VIJANA KUACHA ‘KUDENDEKA’
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-40BW-P8pNBM/VB64KqumI-I/AAAAAAACrWc/2cpmvYbQeYc/s72-c/8.jpg)
AFANDE SELE AWAASA WASANII KUUNGANA NA KUWA KITU KIMOJA,AWATAKA KUACHA TABIA YA KUBAGUANA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-40BW-P8pNBM/VB64KqumI-I/AAAAAAACrWc/2cpmvYbQeYc/s1600/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1KSLZSWICbI/VB64EKkXZGI/AAAAAAACrVA/s2_JJoapqNk/s1600/13.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Kina mama Kibaha watakiwa kuacha utegemezi
KINA mama nchini wametakiwa kuachana na tabia ya kuwa tegemezi na badala yake wajiunge katika vikundi vya ujasiriamali kwa lengo la kupamabana na umasikini. Rai hiyo ilitolewa mjini hapa jana...