MKUU WA MKOA AWAASA VIJANA KUACHA ‘KUDENDEKA’
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick akizindua rasmi kampeni ya kupambana na ugonjwa hatari wa Homa ya Ini. Stori: Gladness Mallya MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadik amewaasa vijana kuacha tabia ya kudendeka kwani inasababisha ugonjwa wa homa ya ini. Mheshimiwa Saidi aliyasema hayo kwenye uzinduzi wa kampeni ya homa ya ini iliyofanyika Ijumaa iliyopita katika Hospitali ya Amana ambapo aliwataka vijana...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Jumuiya ya umoja wa vijana (UVCCM) yawaonya viongozi CCM mkoa kuacha kuwagawa vijana kwa maslahi yao
Katibu Mkuu wa UVCCM Wilaya ya Mkalama Florian Panga akizungumza kwenye kikao hicho.
Na Hillary Shoo, MKALAMA.
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana (UVCCM) imewataka viongozi mbalimbali wa CCM Mkoa wa Singida kuacha kuwagawa vijana kwa maslahi yao binafsi kwani kufanya hivyo ni kuleta mpasuko na makundi miongoni mwao.
Changamoto hiyo imetolewa Wilayani hapa na Katibu Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhani Kapeto wakati akifunga kambi ya vijana wa Wilaya ya Mkalama ya siku saba kwenye shule ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OFgX-QWRgUg/XufjyZNVCkI/AAAAAAALt98/thyngRm11GAlGARfulqXv__LDyzcYmELACLcBGAsYHQ/s72-c/photo.jpg)
BUNDALA AWAASA WANACCM KONGOWE ,KIBAHA KUACHA SIASA ZA MAJUNGU ILI KUKIIMARISHA CHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OFgX-QWRgUg/XufjyZNVCkI/AAAAAAALt98/thyngRm11GAlGARfulqXv__LDyzcYmELACLcBGAsYHQ/s200/photo.jpg)
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Kibaha Mjini ,Pwani ,Maulid Bundala amewaasa baadhi ya wanachama wa CCM Kongowe na Kibaha kijumla kuachana na siasa za majungu na badala yake wajenge umoja ,upendo na mshikamano ili kukiimarisha chama.
Aidha amekemea kupitapita kwa baadhi ya watu wenye nia ya kugombea nafasi za udiwani na ubunge na kudai atakaebainika kupitapita kuanza kampeni kabla ya wakati atachukuliwa hatua .
Akipokea taarifa ya utekelezaji ya ilani kata ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-40BW-P8pNBM/VB64KqumI-I/AAAAAAACrWc/2cpmvYbQeYc/s72-c/8.jpg)
AFANDE SELE AWAASA WASANII KUUNGANA NA KUWA KITU KIMOJA,AWATAKA KUACHA TABIA YA KUBAGUANA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-40BW-P8pNBM/VB64KqumI-I/AAAAAAACrWc/2cpmvYbQeYc/s1600/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1KSLZSWICbI/VB64EKkXZGI/AAAAAAACrVA/s2_JJoapqNk/s1600/13.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0uGBmk6YxPg/VIGOHP2LlFI/AAAAAAAG1YY/1-2TfyHhPKY/s72-c/232.jpg)
Balozi Seif Idd awaasa wana CCM Zanzibar kuacha tabia ya kupuuza mambo yanayowahusu,ili wasije jutia baadae
![](http://4.bp.blogspot.com/-0uGBmk6YxPg/VIGOHP2LlFI/AAAAAAAG1YY/1-2TfyHhPKY/s1600/232.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MkU5lRy3sXU/VIGOHMdm1CI/AAAAAAAG1Yg/DHC8sJj02HE/s1600/224.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Nov
Sumaye awaasa vijana
Na Mwandishi wetu
WAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye (pichani) amewataka vijana kutambua kuwa elimu ni zana muhimu hivyo wakiitumia vema itawaletea mabadiliko katika maisha yao.
Sumaye alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam katika mahafali ya nane ya chuo cha uongozi Azania.
Alisema vijana ambao wanapata nafasi mbalimbali za kusoma ni lazima wajue kuwa wamepata bahati ya pekee ya kutumikia nchi na jamii inayowategemea kwa ubora na ufanisi.
“Elimu ni ufunguo muhimu wa maisha, ukiutumia...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I5pQz8g3ZrI/Vfj0gtbRFtI/AAAAAAAH5Ko/Yii0tNPFm5w/s72-c/Beatrice.jpg)
WAZIRI AWAASA VIJANA KUPAMBANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-I5pQz8g3ZrI/Vfj0gtbRFtI/AAAAAAAH5Ko/Yii0tNPFm5w/s640/Beatrice.jpg)
wakati wa uzinduzi iliyofanyika katika viwanja vya karume jijini Dar
es Saalam.
![](http://3.bp.blogspot.com/-1cpylwOyvt0/Vfj0hXnwJsI/AAAAAAAH5Kw/_Qdi6NlwMmg/s640/GoH.jpg)
Elisante Ole Gabriel akiongea wakati wa uzinduzi wa michuano ya Airtel
Rising Stars katika ngazi ya taifa.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Obama awaasa vijana kuhusu Ubaguzi