Obama awaasa vijana kuhusu Ubaguzi
Rais Obama amewaomba vijana wawe wakakamavu katika vita dhidi ya ubaguzi wa rangi lakini pia wavumulivu kwani mageuzi hayapatikani kwa urahisi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV09 Dec
Obama atahadharisha vijana kuhusu Ubaguzi.
Rais Obama amewaomba vijana wawe wakakamavu katika vita dhidi ya ubaguzi wa rangi lakini pia wavumilivu kwani mageuzi hayapatikani kwa urahisi.
Kauli yake inajiri wakati maandamano yakiendelea Washington, New York na Berkeley dhidi ya uamuzi wa hivi karibuni wa mahakama kutomshtaki maafisa wa polisi wazungu waliohusishwa na vifo vya wanaume wenye asili ya Kiafrika.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/09/141209110625_prince_3.jpg)
Katika mahojiano kwenye televisheni...
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Ubaguzi wa rangi Urusi: Hadithi kuhusu dhana potofu za ubaguzi wa rangi
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Obama ameshindwa kuondoa ubaguzi wa rangi Marekani
10 years ago
Dewji Blog10 Nov
Sumaye awaasa vijana
Na Mwandishi wetu
WAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye (pichani) amewataka vijana kutambua kuwa elimu ni zana muhimu hivyo wakiitumia vema itawaletea mabadiliko katika maisha yao.
Sumaye alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam katika mahafali ya nane ya chuo cha uongozi Azania.
Alisema vijana ambao wanapata nafasi mbalimbali za kusoma ni lazima wajue kuwa wamepata bahati ya pekee ya kutumikia nchi na jamii inayowategemea kwa ubora na ufanisi.
“Elimu ni ufunguo muhimu wa maisha, ukiutumia...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I5pQz8g3ZrI/Vfj0gtbRFtI/AAAAAAAH5Ko/Yii0tNPFm5w/s72-c/Beatrice.jpg)
WAZIRI AWAASA VIJANA KUPAMBANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-I5pQz8g3ZrI/Vfj0gtbRFtI/AAAAAAAH5Ko/Yii0tNPFm5w/s640/Beatrice.jpg)
wakati wa uzinduzi iliyofanyika katika viwanja vya karume jijini Dar
es Saalam.
![](http://3.bp.blogspot.com/-1cpylwOyvt0/Vfj0hXnwJsI/AAAAAAAH5Kw/_Qdi6NlwMmg/s640/GoH.jpg)
Elisante Ole Gabriel akiongea wakati wa uzinduzi wa michuano ya Airtel
Rising Stars katika ngazi ya taifa.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
11 years ago
GPLMKUU WA MKOA AWAASA VIJANA KUACHA ‘KUDENDEKA’
5 years ago
BBCSwahili22 Jun
Beyonce azindua kibao kuhusu ubaguzi wa rangi
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Yaliyosemwa na watu kuhusu ubaguzi wa rangi wakati wa maandamano
10 years ago
MichuziElimu kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana yawafikia Vijana wa Mbeya Vijijini
Vijana wa Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Mbeya Vijijini wametakiwa kutokuwa na tafsiri hasi kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana kuwa ni takrima inayotolewa na serikali kwa vijana hivyo kuchezea fedha hizo na kushindwa kurejesha mkopo watakaouomba kupitia mfuko huo.
Hayo yamesemwa na Mwezeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa wakati wa semina iliyotolewa kwa Vijana wa Mbeya Vijijini kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, Stadi za...