Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama ameshindwa kuondoa ubaguzi wa rangi Marekani

Waingereza wanao msemo na tafsiri yake isiyo rasmi ni kuwa: ‚Watu wanaoishi katika nyumba za vioo inawabidi wasirushe mawe.‘ Ina maana kwamba watu wachukue tahadhari, si kupurukuka tu kulaumu vitendo vya watu wengine ambavyo wao wenyewe wanavifanya. Kufanya hivyo ni unafiki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi Urusi: Hadithi kuhusu dhana potofu za ubaguzi wa rangi

Watu weusi nchin Urusi wameiambia BBC jinsi ubaguzi wa rangi ulivyoyaathiri maisha yao

 

10 years ago

GPL

UBAGUZI WA RANGI, MGOGORO WA KITAIFA MAREKANI

Spika wa Bunge la Baraza la wawakilishi nchini Marekani, John Boehner. Kufuatia kuongezeka ghasia zitokanazo na ubaguzi wa rangi Marekani, Spika wa Bunge la Baraza la Wawakilishi nchini humo amesema uhusiano baina ya Wamarekani wenye asili ya Afrika na maafisa wa polisi sasa umegeuka na kuwa mgogoro wa kitaifa. Waandamanaji wakiharibu gari la polisi. John Boehner katika mahojiano na Televisheni ya NBC amesisitiza kuwa maafisa wa...

 

5 years ago

CCM Blog

MAANDAMANO YA KUPINGA UBAGUZI WA RANGI NCHINI MAREKANI, SABABU NA HATARI ZAKE

Maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani, sababu na hatari zakeMarekani imetumbukia tena katika machafuko makubwa kutokana na malalamiko ya wananchi wanaopinga mauaji yaliyofanywa na polisi wa nchi hiyo dhidi ya raia mweusi.Katika kipindi cha siku nne zilizopita miji mbalimbali ya Marekani kuanzia Minneapolis hadi New York, Atlanta mpaka Houston na Milwaukee hadi Los Angeles imekumbwa na maandamano na ghasia kubwa baina ya raia wanaoandamana, na polisi. Watu kadhaa wamejeruhiwa katika baadhi ya machafuko hayo na kunashuhudiwa ghasia na hata oporaji wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi upo Uingereza ?

Asilimia kubwa ya raiya wa Uingereza wanasema wanazidi kushindwa kuzungumzia swala la kuwepo kwa raiya weusi

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi:Gyan alalama

Mshambuliaji wa timu ya Ghana Asamoah Gyan amemshtumu mchezaji wa timu ya Al Hilal Mihai Pintilii kwa kum'bagua.

 

11 years ago

BBCSwahili

FIFA inachunguza ubaguzi wa rangi

Shirikisho la Soka duniani FIFA inachunguza ubaguzi wa rangi dhidi ya Manchester City

 

11 years ago

BBCSwahili

Real yaadhibiwa kwa ubaguzi wa rangi

'Twakataa ubaguzi wa rangi' Mabingwa Real Walazimika kusema

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi wamtisha Chris Ramsey

Meneja wa timu ya QPR Chris Ramsey amesema asili yake ya rangi nyeusi itampa wakati mgumu kupata kazi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani