Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yaliyosemwa na watu kuhusu ubaguzi wa rangi wakati wa maandamano

Yaliyosemwa na watu mashuhuri kuhusu ubaguzi wa rangi wakati maandamano yakiendelea duniani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi Urusi: Hadithi kuhusu dhana potofu za ubaguzi wa rangi

Watu weusi nchin Urusi wameiambia BBC jinsi ubaguzi wa rangi ulivyoyaathiri maisha yao

 

5 years ago

CCM Blog

MAANDAMANO YA KUPINGA UBAGUZI WA RANGI NCHINI MAREKANI, SABABU NA HATARI ZAKE

Maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani, sababu na hatari zakeMarekani imetumbukia tena katika machafuko makubwa kutokana na malalamiko ya wananchi wanaopinga mauaji yaliyofanywa na polisi wa nchi hiyo dhidi ya raia mweusi.Katika kipindi cha siku nne zilizopita miji mbalimbali ya Marekani kuanzia Minneapolis hadi New York, Atlanta mpaka Houston na Milwaukee hadi Los Angeles imekumbwa na maandamano na ghasia kubwa baina ya raia wanaoandamana, na polisi. Watu kadhaa wamejeruhiwa katika baadhi ya machafuko hayo na kunashuhudiwa ghasia na hata oporaji wa...

 

5 years ago

CCM Blog

ZARIF: UMEFIKA WAKATI WA DUNIA KUUNGANA KATIKA KUKABILIANA NA UBAGUZI WA RANGI

Zarif: Umefika wakati wa dunia kuungana katika kukabiliana na ubaguzi wa rangiWaziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe katika mtandao wa Twitter akiashiria mauaji ya kusikitisha yaliyofanywa na polisi ya Marekani dhidi ya Mmarekani mweusi ambaye hakuwa na silaha ya aina yoyote katika mji wa Minneapolis na kusema: Umewadia wakati wa dunia kuungana kwa ajili ya kukabiliana na ubaguzi wa rangi.Muhammad Javad Zarif ameashiria jinsi maisha ya Wamarekani weusi yanavyopuuzwa nchini Marekani na kuandika kuwa, kwa muda mrefu sasa suala la kupambana...

 

5 years ago

BBCSwahili

Beyonce azindua kibao kuhusu ubaguzi wa rangi

Mwanamuziki Beyoncé amezindua wimbo wa Black Parade masaa kdhaa baada ya kutangaza mpango wa kusaidia biashara zinazomilikiwa na watu weusi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Je,Trump yuko mashakani kwa msimamo wake kuhusu ubaguzi wa rangi?

Je changamoto hizi za maandamano dhidi ya ubaguzi zina uwezekano wa kumfanya Trump kuwa na nafasi ndogo kuchaguliwa tena?

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi:Gyan alalama

Mshambuliaji wa timu ya Ghana Asamoah Gyan amemshtumu mchezaji wa timu ya Al Hilal Mihai Pintilii kwa kum'bagua.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi upo Uingereza ?

Asilimia kubwa ya raiya wa Uingereza wanasema wanazidi kushindwa kuzungumzia swala la kuwepo kwa raiya weusi

 

11 years ago

BBCSwahili

FIFA inachunguza ubaguzi wa rangi

Shirikisho la Soka duniani FIFA inachunguza ubaguzi wa rangi dhidi ya Manchester City

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani