Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZARIF: UMEFIKA WAKATI WA DUNIA KUUNGANA KATIKA KUKABILIANA NA UBAGUZI WA RANGI

Zarif: Umefika wakati wa dunia kuungana katika kukabiliana na ubaguzi wa rangiWaziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe katika mtandao wa Twitter akiashiria mauaji ya kusikitisha yaliyofanywa na polisi ya Marekani dhidi ya Mmarekani mweusi ambaye hakuwa na silaha ya aina yoyote katika mji wa Minneapolis na kusema: Umewadia wakati wa dunia kuungana kwa ajili ya kukabiliana na ubaguzi wa rangi.Muhammad Javad Zarif ameashiria jinsi maisha ya Wamarekani weusi yanavyopuuzwa nchini Marekani na kuandika kuwa, kwa muda mrefu sasa suala la kupambana...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi Urusi: Hadithi kuhusu dhana potofu za ubaguzi wa rangi

Watu weusi nchin Urusi wameiambia BBC jinsi ubaguzi wa rangi ulivyoyaathiri maisha yao

 

5 years ago

BBCSwahili

Yaliyosemwa na watu kuhusu ubaguzi wa rangi wakati wa maandamano

Yaliyosemwa na watu mashuhuri kuhusu ubaguzi wa rangi wakati maandamano yakiendelea duniani

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi upo Uingereza ?

Asilimia kubwa ya raiya wa Uingereza wanasema wanazidi kushindwa kuzungumzia swala la kuwepo kwa raiya weusi

 

11 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi:Gyan alalama

Mshambuliaji wa timu ya Ghana Asamoah Gyan amemshtumu mchezaji wa timu ya Al Hilal Mihai Pintilii kwa kum'bagua.

 

11 years ago

BBCSwahili

FIFA inachunguza ubaguzi wa rangi

Shirikisho la Soka duniani FIFA inachunguza ubaguzi wa rangi dhidi ya Manchester City

 

10 years ago

Mwananchi

Wakati umefika wa kubadilisha mfumo wa elimu

Matokeo ya mitihani ya darasa la saba imetoka, tumejisifu kuwa tumefaulisha zaidi ya nusu ya wanafunzi waliofanya mtihani huo, lakini tunasahau kuwa waliofeli pia ni karibu ya nusu kwani waliofaulu ni 451,392 na waliofeli ni 356,693.

 

11 years ago

BBCSwahili

Balotelli:polisi wachunguza ubaguzi wa rangi

Polisi wameanzisha uchunguzi kuhusiana na ubaguzi wa rangi dhidi ya Mario Balotelli

 

11 years ago

BBCSwahili

Real yaadhibiwa kwa ubaguzi wa rangi

'Twakataa ubaguzi wa rangi' Mabingwa Real Walazimika kusema

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani