Obama atahadharisha vijana kuhusu Ubaguzi.
Rais Obama amewaomba vijana wawe wakakamavu katika vita dhidi ya ubaguzi wa rangi lakini pia wavumilivu kwani mageuzi hayapatikani kwa urahisi.
Kauli yake inajiri wakati maandamano yakiendelea Washington, New York na Berkeley dhidi ya uamuzi wa hivi karibuni wa mahakama kutomshtaki maafisa wa polisi wazungu waliohusishwa na vifo vya wanaume wenye asili ya Kiafrika.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/09/141209110625_prince_3.jpg)
Katika mahojiano kwenye televisheni...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Obama awaasa vijana kuhusu Ubaguzi
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Ubaguzi wa rangi Urusi: Hadithi kuhusu dhana potofu za ubaguzi wa rangi
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Rais wa CAR atahadharisha kuhusu uchaguzi
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Obama ameshindwa kuondoa ubaguzi wa rangi Marekani
5 years ago
BBCSwahili22 Jun
Beyonce azindua kibao kuhusu ubaguzi wa rangi
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Yaliyosemwa na watu kuhusu ubaguzi wa rangi wakati wa maandamano
10 years ago
MichuziElimu kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana yawafikia Vijana wa Mbeya Vijijini
Vijana wa Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Mbeya Vijijini wametakiwa kutokuwa na tafsiri hasi kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana kuwa ni takrima inayotolewa na serikali kwa vijana hivyo kuchezea fedha hizo na kushindwa kurejesha mkopo watakaouomba kupitia mfuko huo.
Hayo yamesemwa na Mwezeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa wakati wa semina iliyotolewa kwa Vijana wa Mbeya Vijijini kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, Stadi za...
5 years ago
BBCSwahili13 Jun
Je,Trump yuko mashakani kwa msimamo wake kuhusu ubaguzi wa rangi?
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Vijana wilayani Kasulu wapewa somo kuhusu fursa za Mfuko wa Maendeleo ya Vijana
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Mhe. Dani Makanga akizungumza na wajumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo waliofika ofsini kwake kwa ajili ya kujitambulisha kabla ya kuendelea na ratiba yao ya mafunzo kwa Vijana wa Halmashauri za Kasulu na Bihigwe leo mjini Kasulu. Katikati ni Mkuu wa msafara huo ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Esther Riwa na wa kwanza kushoto ni Afisa Vijana wa wizara hiyo Bi. Amina...