WAZIRI AWAASA VIJANA KUPAMBANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-I5pQz8g3ZrI/Vfj0gtbRFtI/AAAAAAAH5Ko/Yii0tNPFm5w/s72-c/Beatrice.jpg)
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Beatrice Singano Mallya akiongea
wakati wa uzinduzi iliyofanyika katika viwanja vya karume jijini Dar
es Saalam. Naibu katibu mkuu wa wizara ya habari vijana utamaduni na michezo Prof
Elisante Ole Gabriel akiongea wakati wa uzinduzi wa michuano ya Airtel
Rising Stars katika ngazi ya taifa.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Nov
Sumaye awaasa vijana
Na Mwandishi wetu
WAZIRI Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye (pichani) amewataka vijana kutambua kuwa elimu ni zana muhimu hivyo wakiitumia vema itawaletea mabadiliko katika maisha yao.
Sumaye alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam katika mahafali ya nane ya chuo cha uongozi Azania.
Alisema vijana ambao wanapata nafasi mbalimbali za kusoma ni lazima wajue kuwa wamepata bahati ya pekee ya kutumikia nchi na jamii inayowategemea kwa ubora na ufanisi.
“Elimu ni ufunguo muhimu wa maisha, ukiutumia...
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Obama awaasa vijana kuhusu Ubaguzi
11 years ago
GPLMKUU WA MKOA AWAASA VIJANA KUACHA ‘KUDENDEKA’
10 years ago
Vijimambo23 Mar
Waziri Membe awaasa waimbaji wa nyimbo za injili nchini kuwa chachu ya amani na uadilifu nchin
9 years ago
Dewji Blog25 Sep
Vijana wa Kitanzania waungana kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi malengo ya 17 ya (SDGs)
Mkurugenzi wa Asasi ya Mazingira, Elisha Sibale amesema kuwa vijana wanawajibu wa kuleta mabadiliko chanya katika mabadiliko ya tabianchi kutokana na kuwa sehemu ya kubwa ya kuweza kuingia katika ajenda hizo.
Na Andrew Chale, modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Vijana nchini wametakiwa kuchukua hatua ya kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi kwa vitendo huku wakiombwa kuungana katika harakati za kupambana na Mabadilikio hayo ilikufanya idadi kubwa ya watu katika utekelezaji wa malengo mbalimbali...
9 years ago
MichuziVIJANA WAUNGANA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI KATIKA MALENGO 17 YA MAENDELEO ENDELEVU (SDGs)
Akizungumza na wadau wa Mabadiliko ya Tabianchi,Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabianchi,Sixberty Mwanga amesema kuwa katika malengo 17 ya Maendeleo Endelevu Tanzania inatakiwa kushiriki na kukubali juu ya kuweza kupata fedha za kuweza kutekeleza malengo hayo.
Mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN) wa Malengo...
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KIBAHA MJINI AHAIDI KUPAMBANA NA CHANGAMOTO YA AJIRA KWA VIJANA
11 years ago
Habarileo06 May
Waziri asifu MKUZA kupambana na umasikini
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, Dk Mwinyihaji Makame Mwadini amesema wananchi wameanza kuufahamu Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupambana na Umasikini (MKUZA), ambao umepata mafanikio makubwa.