Waziri asifu MKUZA kupambana na umasikini
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, Dk Mwinyihaji Makame Mwadini amesema wananchi wameanza kuufahamu Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupambana na Umasikini (MKUZA), ambao umepata mafanikio makubwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Mimba za utotoni zinafifisha ndoto ya kupambana na umasikini
BAADA ya kutafakari kwa muda juu ya mchakato wa Katiba mpya ulivyokuwa ukiendeshwa, pamoja na mambo yote yaliyotokea lakini tunahitaji kuangalia suala la mfumo ambao unasababisha matatizo mengi ya kijamii...
9 years ago
StarTV30 Nov
Watu wenye uwezo watakiwa kuisaidia Serikali Kupambana Na Umasikini
Watu wenye uwezo wa kifedha wameaswa kujitoa kuisaidia serikali katika kupambana na janga la umasikini nchini ikiwa pamoja na kuwainua kiuchumi baadhi ya wananchi wasiojiweza kimaisha.
Rai hiyo imetolewa katika hafla ya kuwatunuku shahada ya uzamivu baadhi ya watendaji wa serikali pamoja na Baadhi ya watu wanaofanya kazi kiroho iliyofanyika Jijini Mwanza.
Chuo cha Africa Graduate University, makao makuu yake nchini Sierra Leone limejikita mkoani Mwanza Kutunuku vyeti Vya heshima shahada ya...
11 years ago
MichuziMFUKO WA MAENDELEO YA JAMII,TASAF NA JITIHADA ZA KUPAMBANA NA UMASIKINI NCHINI.
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF umeanza zoezi la kuwashirikisha walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya masikini kuibua miradi ya Ujenzi PWP...
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Waziri asifu uzalishaji mali JKT
11 years ago
Habarileo29 Mar
Waziri wa Afrika Kusini asifu Kambi ya Makutupora
NAIBU Waziri wa Utendaji, Ufuatiliaji na Tathimini Ofisi ya Rais, Jamhuri ya Afrika Kusini, Obeid Bapela amesifia juhudi zinazofanywa na vijana wa kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Makutupora mkoani hapa kwa shughuli mbalimbali za uzalishaji mali.
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka asifu kazi inayofanywa na Shirika la Nyumba (NHC)
Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Prof. Anna Tibaijuka akipokewa na Felix Maagi Mkurugenzi wa Fedha wa NHC wakati alipowasili kwenye Banda la Shirika hilo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa TANTRADE yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwalimu J.K.Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam leo.
Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Prof. Anna Tibaijuka akizungumza na baadhi ya viongozi wa shirika la nyumba nchini NHC baada ya kuwasili kwenye banda hilo...
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Bayi awashukuru majirani Mkuza
MKURUGENZI wa Shule za Filbert Bayi, Anna Bayi, amewashukuru wakazi wa Kwamatiasi, Mkuza Kibaha mkoani Pwani kwa msaada wao mkubwa walioutoa wakati wa tukio la kuungua moto kwa shule ya...
5 years ago
MichuziWAZIRI JAFO AAGIZA SHULE ILIYOJENGWA NA DC JOKATE IITWE JOKATE GIRLS SEKONDARI, ASIFU UTENDAJI WAKE
Moja ya jengo jipya na la kisasa la Shule ya Sekondari ya Wasichana Jokate Girls iliyopo Kata ya Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani ambayo linavyoonekana.Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemen Jafo amefanya ziara ya kutembelea shule hiyo kwa ajili ya kukagua maendeleo ya ujenzi wake.
Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemen Jafo akizungumza jana baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule ya bweni ya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I5pQz8g3ZrI/Vfj0gtbRFtI/AAAAAAAH5Ko/Yii0tNPFm5w/s72-c/Beatrice.jpg)
WAZIRI AWAASA VIJANA KUPAMBANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-I5pQz8g3ZrI/Vfj0gtbRFtI/AAAAAAAH5Ko/Yii0tNPFm5w/s640/Beatrice.jpg)
wakati wa uzinduzi iliyofanyika katika viwanja vya karume jijini Dar
es Saalam.
![](http://3.bp.blogspot.com/-1cpylwOyvt0/Vfj0hXnwJsI/AAAAAAAH5Kw/_Qdi6NlwMmg/s640/GoH.jpg)
Elisante Ole Gabriel akiongea wakati wa uzinduzi wa michuano ya Airtel
Rising Stars katika ngazi ya taifa.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA