MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII,TASAF NA JITIHADA ZA KUPAMBANA NA UMASIKINI NCHINI.
Afisa kutoka TASAF makao makuu Bw. Geodfrey Nyamwihula akisisitiza jambo kwa walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya masikini katika shehia ya Bandamaji wilaya ya Kaskazini B Unguja wakati walengwa wa mpango huo walipopewa mafunzo ya namna ya kuibua miradi ya ujenzi PWP ambayo ni moja ya jitihada za serikali kupitia TASAF kuongeza pato la kaya husika .
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF umeanza zoezi la kuwashirikisha walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya masikini kuibua miradi ya Ujenzi PWP...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog21 Nov
Jinsi Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ulivyosaidia kujikwamua katika umasikini Tanzania
Mmoja wa wanufaikaji wa mradi wa kunusuru kaya maskini mkazi wa kijiji cha Mwanga tarafa ya Nduguti wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Agnes Samson,akionyesha mradi wa Mbuzi aliouanzisha kwa fedha za TASAF. Nyuma yake ni Mratibu wa TASAF wilaya ya Mkalama, Athumani Jumanne Dulle.
Watanzania wamekuwa wakipambana kila siku ili kijikwamua kutoka katika umasikini uliokithili wa kukosa hata milo mitatu na mahitaji muhimu kama afya , maji , malazi , mavazi na elimu. Serikali ya awamu ya nne...
10 years ago
GPLMFUKO WA MAENDELEO YA JAMII TASAF WAKUTANA NA WADAU WA MAENDELEO JIJINI DSM
10 years ago
MichuziMfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF wakutana na wadau wa Maendeleo jijini DSM kufanya Mapitio ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini PSSN.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RCD2NUyH8vA/U4h97SPqllI/AAAAAAACifY/op-jg1IubNU/s72-c/New+Picture+(2).png)
Kamati Tendaji ya Taifa ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF, yazuru Kibaha, Pwani.
![](http://4.bp.blogspot.com/-RCD2NUyH8vA/U4h97SPqllI/AAAAAAACifY/op-jg1IubNU/s1600/New+Picture+(2).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7Xb4pVQTdeM/U4h-D2lmyrI/AAAAAAACifg/AKQTBLonCJI/s1600/New+Picture+(3).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tbUli0nLnQE/U4h-D2nAviI/AAAAAAACifk/wXTQxCo3YLE/s1600/New+Picture+(4).png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EYXICsT0ySQ/XktrML4Q1CI/AAAAAAALd1g/fTqwgoYfwo81bAbUBa3GmuNa_9CGulnvwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MKURUGENZI MTENDAJI MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII AANIKA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KWA KAYA MASIKINI ZILIZOFIKIWA NA MFUKO HUO NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-EYXICsT0ySQ/XktrML4Q1CI/AAAAAAALd1g/fTqwgoYfwo81bAbUBa3GmuNa_9CGulnvwCLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Ladislaus Mwamanga amesema kuwa programu ya TASAF imetekelezwa katika awamu tatu na imekuwa ikitekeleza miradi mbalimbali katika ngazi ya jamii kwa lengo la kupunguza umasikini kwa msingi wa kutoa huduma za jamii katika sekta zote.
Utekelezaji huo umekuwa ukizingatia mahitaji halisi au kero za wananchi wenyewe kwa kushirikiana na vyombo vingine vya Serikali na kwamba awamu ya kwanza ya TASAF...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BEZF91u9VOQ/VJqO6viUH1I/AAAAAAAG5f8/Lox9sldAm5E/s72-c/1220-nyota%2Balfajiri.jpg)
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii chachu ya Maendeleo Wilaya ya korogwe
![](http://4.bp.blogspot.com/-BEZF91u9VOQ/VJqO6viUH1I/AAAAAAAG5f8/Lox9sldAm5E/s1600/1220-nyota%2Balfajiri.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-F_abfF1h3Dc/VJqO7ptSFOI/AAAAAAAG5gE/ELosa9iKgS8/s1600/1239-maafisa%2Bwakiwa%2Bwatatu.jpg)
5 years ago
MichuziNAIBU SPIKA WA BUNGE DK.TULIA AUPONGEZA UBALOZI WA UFARANSA NCHINI TANZANIA KWA JITIHADA ZAKE ZA KUSHIRIKI KIKAMILIFU KULETA MAENDELEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_dBr7FLEX24/Xm-b3vTzW7I/AAAAAAALj7w/xpnjaSq43qcGgvA3XmYan43tDIq0Xk4RACLcBGAsYHQ/s72-c/0c82b8ba-5145-42a8-a440-3531bad6450a.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAITAKA SERIKALI KUONGEZA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO YA JAMII
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.
Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...