Kamati Tendaji ya Taifa ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF, yazuru Kibaha, Pwani.
![](http://4.bp.blogspot.com/-RCD2NUyH8vA/U4h97SPqllI/AAAAAAACifY/op-jg1IubNU/s72-c/New+Picture+(2).png)
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF,LadislausMwamanga (aliyesimama)akitoa ufafanuzi juu ya utekelezaji wa Mpango wa KunusuruKaya Masikinikwa walengwa wa Mpango huo (hawapo pichani).
Mkurugenzi Mtendajiwa Halmashauri ya wilaya ya Kibaha mkoani Pwani Tatu Seleman (mwenye miwani) akiangalia moja ya mikeka iliyosukwa na walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya masikini,PSSN, katika kijiji cha Vikuge kama njia mojawapo ya kukuza kipato cha wananchi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-tbUli0nLnQE/U4h-D2nAviI/AAAAAAACifk/wXTQxCo3YLE/s1600/New+Picture+(4).png)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-G82Qp31u4Wg/UwZuEyL_b2I/AAAAAAAFOdo/_76N2scmg5k/s72-c/unnamed+(72).jpg)
Wajumbe wa Kamati Tendaji ya Taifa ya TASAF wakagua Miradi Mkoani Ruvuma
![](http://1.bp.blogspot.com/-G82Qp31u4Wg/UwZuEyL_b2I/AAAAAAAFOdo/_76N2scmg5k/s1600/unnamed+(72).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GwQD1ziDez0/UwZuDAL3HUI/AAAAAAAFOdQ/H9PpjqmUdNc/s1600/unnamed+(73).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2qSytMzTqhw/UwZuDvsiK9I/AAAAAAAFOdY/QjyXBDd1Y8U/s1600/unnamed+(74).jpg)
10 years ago
GPLMFUKO WA MAENDELEO YA JAMII TASAF WAKUTANA NA WADAU WA MAENDELEO JIJINI DSM
10 years ago
MichuziMfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF wakutana na wadau wa Maendeleo jijini DSM kufanya Mapitio ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini PSSN.
11 years ago
MichuziMFUKO WA MAENDELEO YA JAMII,TASAF NA JITIHADA ZA KUPAMBANA NA UMASIKINI NCHINI.
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF umeanza zoezi la kuwashirikisha walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya masikini kuibua miradi ya Ujenzi PWP...
9 years ago
Dewji Blog21 Nov
Jinsi Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ulivyosaidia kujikwamua katika umasikini Tanzania
Mmoja wa wanufaikaji wa mradi wa kunusuru kaya maskini mkazi wa kijiji cha Mwanga tarafa ya Nduguti wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Agnes Samson,akionyesha mradi wa Mbuzi aliouanzisha kwa fedha za TASAF. Nyuma yake ni Mratibu wa TASAF wilaya ya Mkalama, Athumani Jumanne Dulle.
Watanzania wamekuwa wakipambana kila siku ili kijikwamua kutoka katika umasikini uliokithili wa kukosa hata milo mitatu na mahitaji muhimu kama afya , maji , malazi , mavazi na elimu. Serikali ya awamu ya nne...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_dBr7FLEX24/Xm-b3vTzW7I/AAAAAAALj7w/xpnjaSq43qcGgvA3XmYan43tDIq0Xk4RACLcBGAsYHQ/s72-c/0c82b8ba-5145-42a8-a440-3531bad6450a.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAITAKA SERIKALI KUONGEZA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO YA JAMII
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.
Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...
11 years ago
MichuziTASAF YAFUNGUA WARSHA YA MIRADI YA UJENZI MJINI KIBAHA-PWANI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-wE4q0wEJn5U/UxXdHwgbyRI/AAAAAAACbjE/aRPsVEQTkWQ/s1600/DSC_Mkurugenzi+wa+miradi+wa+TASAF+Amadeus+Kamagenge+akifungua+warsha+ya+miradi+ya+ujenzi+kwa+wataalam+wa+halmashauri+ya+manispaa+ya+kibaha+ikiwa+ni+moja+ya+mikakati+ya+kufanikisha+mpango+wa+kunusuru+kaya+masikini+unao.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-365YaRMnvRc/VkI2CXH8C2I/AAAAAAAIFPU/RHSpssppiig/s72-c/unnamed%2B%252839%2529.jpg)
KAIMU MKURUGENZI MPYA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI AKUTANA NA KAMATI TENDAJI YAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-365YaRMnvRc/VkI2CXH8C2I/AAAAAAAIFPU/RHSpssppiig/s640/unnamed%2B%252839%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uIQTS00OyT8/VkI2EPsbGRI/AAAAAAAIFPc/pKL6yD8UwUQ/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)