Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAIMU MKURUGENZI MPYA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI AKUTANA NA KAMATI TENDAJI YAKE

 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Umma (MNH), Aminiel Aligaesha (kulia) na akimtambulisha Kaimu Mkurugenzi mpya wa Hospitali hiyo Profesa Lawrence Mseru kwa kamati tendaji, wakurugenzi, wakuu wa idara, mameneja wa majengo ya Kibasila, Sewahaji, Mwaisela na Jengo la Watoto.  Kaimu Mkurugenzi mpya wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Mseru (kulia) akizungumza na kamati tendaji, wakurugenzi, wakuu wa idara, mameneja wa majengo ya Kibasila, Sewahaji, Mwaisela na Jengo la...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Wajumbe wa Kamati Tendaji ya Taifa ya TASAF wakagua Miradi Mkoani Ruvuma

    Makamu mwenyekiti wa Kamati Tendaji ya TASAF Taifa Abbas Kandoro akizungumza na Wazee wa Mtaa wa Mbulani katika kata ya Ruvuma Mjini Songea mara baada ya kukagua mradi wa Mashine ya kusaga na kukoboa nafasi wa wazee hao  Wazee wa Kata ya Ruvuma wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Kamati Tendaji ya Kitaifa ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF  Wajumbe wa kamati Tendaji ya TASAF Kitaifa wakikagua mradi wa ufugaji wa Ngombe wa Vijana wa Mtaa wa Muungano Mjini Songea. Katika...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YANUNUA MASHINE MPYA YA CT-SCAN KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI YENYE UWEZO WA HALI YA JUU

Na Magreth Kinabo –MAELEZO.
Serikali imenunua mashine  mpya ya CT-Scan yenye thamani ya  takriban dola  za Marekani milioni 1.7  yenye uwezo wa hali ya juu kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali  katika Hospitali  ya Taifa ya Muhimbili(MNH) iliyopo jijini Dar es Salaam.
 Ununuzi wa mashine hiyo, umefanyika kufuatia agizo la Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyoifanya hivi karibuni ambapo aliutaka uongozi wa hospitali hiyo kuboresha...

 

11 years ago

Michuzi

Kamati Tendaji ya Taifa ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF, yazuru Kibaha, Pwani.

 Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF,LadislausMwamanga (aliyesimama)akitoa ufafanuzi juu ya utekelezaji wa Mpango wa KunusuruKaya Masikinikwa walengwa wa Mpango huo (hawapo pichani).
 Mkurugenzi Mtendajiwa Halmashauri ya wilaya ya Kibaha mkoani Pwani Tatu Seleman (mwenye miwani) akiangalia moja ya mikeka iliyosukwa na walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya masikini,PSSN, katika kijiji cha Vikuge kama njia mojawapo ya kukuza kipato cha wananchi.

 Walengwa wa Mpango wa kunusurukaya masikinikatika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri Ummy Mwalimu amsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Ocean Road

Ocean Road Cancer Institute, acting chief executive officer, Diwani Msemo speaks at press conference in Dar es Salaam yesterday. 44,000 Tanzanians are diagnosed with cancer disease every year but only 8800 stands a good chance of being full cured. PHOTO| SALIM SHAO

Aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dkt. Diwani Msemo.

 

9 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ.....: RAIS MAGUFULI AVUNJA BODI YA UONGOZI WA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI, ATEUA UONGOZI MPYA WA MUDA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli , leo mchana amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kukutana na hali ya kumsikitisha.
“ Rais  amesikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya huduma kwa wagonjwa hususan wanaolala chini. Pia amekasirishwa na hali ya kutokujali wala kushughulikia vifaa vya kufanyia kazi ambapo amekuta mashine muhimu za uchunguzi wa magonjwa kama vile MRI na CT-SCAN zikiwa hazifanyi kazi kwa muda wa miezi miwili...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akutana na akutana na Mkurugenzi wa Hospitali ya Iran ya Dubai

Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai, leo amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Iran ya Dubai, Dr. Asghar Fashad. Katika mazungumzon hayo, Mhe. Mjenga alimuomba Dr asghar kuangalia uwezekano wa kuwa na makubaliano kati ya hospitali yake na Ubalozi Mdogo kwa ajili ya kutoa huduma za afya kwa Watanzania kwa gharama nafuu ukilinganisha na gharama zake za sasa.
Baada ya mazungumzo na mashauriano ya muda wa saa moja, Uongozi wa Juu wa Hospitali,...

 

9 years ago

StarTV

Huduma zaimarika hospitali ya Taifa Muhimbili

Hali ya utoaji wa huduma ya upimaji kwa mionzi ya CT Scan na MRI kwenye hospitali ya Taifa ya Muhimbili hivi sasa imeimarika baada ya uongozi wa kitengo hicho kuthibitisha kuwa mashine za vipimo zimeendelea kufanya kazi bila ya tatizo lolote.

Hatua hii inafikiwa baada ya Rais Dr. John Magufuli kuagiza uongozi wa hospitali hiyo kuhakikisha kuwa vipimo hivyo ambavyo vilikuwa vibovu kwa muda mrefu vinafanyiwa marekebisho na kuanza kazi mara moja.

 Siku chache tu zimepita tangu mashine ya mionzi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Aboud Jumbe alazwa hospitali ya taifa Muhimbili

Aboud-Jumbe-Mwinyi1

Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Aboud Jumbe Mwinyi (94).

Na Mwandishi wetu

Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Aboud Jumbe Mwinyi (94), yupo hoi baada ya kulazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili akisumbuliwa na maradhi ya moyo.

Taarifa iliyotolewa na  Ofisa Uhusiano wa Hospitali ya Muhimbili, Doris Ishenga, alisema Jumbe alipokewa hospitalini hapo tangu Oktoba 12, mwaka huu.

Amelazwa katika Taasisi ya Moyo baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani