SERIKALI YANUNUA MASHINE MPYA YA CT-SCAN KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI YENYE UWEZO WA HALI YA JUU
Na Magreth Kinabo –MAELEZO.
Serikali imenunua mashine mpya ya CT-Scan yenye thamani ya takriban dola za Marekani milioni 1.7 yenye uwezo wa hali ya juu kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili(MNH) iliyopo jijini Dar es Salaam.
Ununuzi wa mashine hiyo, umefanyika kufuatia agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyoifanya hivi karibuni ambapo aliutaka uongozi wa hospitali hiyo kuboresha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Mengine kutoka Hospitali ya Muhimbili kuhusu mashine za CT Scan..
Agizo la Rais Magufuli la kupatikana kwa mashine mpya ya CT Scan katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili limeonekana kuzaa matunda baada ya Serikali kununua mashine mpya ambayo imegharimu dola za Kimarekani milioni 1.7. Kutokana na mashine ya awali kuharibika kila wakati Serikali imegharamia mashine mpya ambayo imeelezwa kuwa na uwezo mkubwa wa kufanya kazi […]
The post Mengine kutoka Hospitali ya Muhimbili kuhusu mashine za CT Scan.. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Habarileo05 Jan
Muhimbili yanunua CT-Scan ya kisasa zaidi
SSERIKALI imenunua mashine mpya ya CT-Scan kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH). Mashine hiyo yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 1.7 (takribani Sh bilioni 3.6) imeelezwa kwamba ni yenye uwezo wa hali ya juu.
9 years ago
MichuziSPEA ZA MASHINE ZA MRI NA CT-SCAN ZIMEFIKA NA MATENGENEZO YAMESHAANZA KATIKA HOSPITALI YA MHIMBILI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cSwPJlayw1M/XlqYNakadVI/AAAAAAACIAo/AwWYRraRx6IBDz2aMKvG3tJmYxYzM73MACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AMTEMBELEA KUMJULIA HALI MZEE MAGULA AMBAYE AMELAZWA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-cSwPJlayw1M/XlqYNakadVI/AAAAAAACIAo/AwWYRraRx6IBDz2aMKvG3tJmYxYzM73MACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-KP7s6ibHGNY/XlqYNWFjbuI/AAAAAAACIAs/J958LarX3skYP2qam-e7zBP-YrN86BvNgCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kxwngdLZIns/XlqYNcMSD6I/AAAAAAACIAw/YoYl5iTnxAAQuRTMmdj0bo0EZ1sIh3aiQCLcBGAsYHQ/s400/3.jpg)
9 years ago
VijimamboHOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI YAPATIWA MASHINE YA MATIBABU YA MOYO
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qyEMYVG42YI/XqVMj6AEKkI/AAAAAAAC3-U/0ZenNmtGRV0XlRqkY6M5gbDBsMD0qFECgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI YAFUNGA MASHINE TATU ZA KUSAFISHA DAMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-qyEMYVG42YI/XqVMj6AEKkI/AAAAAAAC3-U/0ZenNmtGRV0XlRqkY6M5gbDBsMD0qFECgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Taarifa hiyo imetolewa leo Aprili 26, 2020 na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Umma wa Hospitali hiyo, Aminiel Aligaesha na kuongeza kuwa, Hospitali hiyo pia inatarajia kufunga mashine moja ya kumsaidia mgonjwa kupumua kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa waliopata maambukizi hayo.
"Tayari wagonjwa wanaohitaji kusafishwa damu wameanza kuhudumiwa ,...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WFOFjlsEtx4/VlROLk-mz_I/AAAAAAAIIL8/C2ifJ2zFA-g/s72-c/download.jpg)
MAFUNDI WAZISHUGULIKIA MASHINE ZA MRI NA CT-SCAN MUHIMBILI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-WFOFjlsEtx4/VlROLk-mz_I/AAAAAAAIIL8/C2ifJ2zFA-g/s1600/download.jpg)
Akizungumza ofisini kwake leo hii Mkuu wa Idara ya Uhusiano Hospitali ya Taifa Muhimbili Bw. Aminiel Buberwa Aligaesha amesema mafundi wapo katika eneo la kazi wakitengeneza hizo mashine ili ziweze kurudi katika hali yake ya kawaida.
“Tumepewa siku tatu kukamilisha ukarabati wa hizi mashine hivyo wananchi wawe na subira...
9 years ago
Michuzi05 Jan
DK. KIGWANGALLA AFANYA ZIARA MUHIMBILI NA KUKAGUA MASHINE ZA CT-SCAN NA MRI, AFURAHISHWA NA UTENDAJI KAZI
![IMG_0910](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0910.jpg)