MASHINE YA MRI HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI YAANZA KUFANYA KAZI LEO
![](http://api.ning.com:80/files/uqLqBDFuIfDJLPD9QdbnxgTT0kv2HqiXBhZaIHr8pj9Z4ghTJI3Mm222V1gyy4Iq0YALsxgWhLgoa*-TrV9H0TXSqtbQcuDF/MRI.jpg?width=650)
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uXIVumFF7qg/VkNMCfINl4I/AAAAAAAIFVA/xumeSkVkzBQ/s72-c/20151111060808.jpg)
9 years ago
Michuzi05 Jan
DK. KIGWANGALLA AFANYA ZIARA MUHIMBILI NA KUKAGUA MASHINE ZA CT-SCAN NA MRI, AFURAHISHWA NA UTENDAJI KAZI
![IMG_0910](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0910.jpg)
9 years ago
VijimamboHOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI YAPATIWA MASHINE YA MATIBABU YA MOYO
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qyEMYVG42YI/XqVMj6AEKkI/AAAAAAAC3-U/0ZenNmtGRV0XlRqkY6M5gbDBsMD0qFECgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI YAFUNGA MASHINE TATU ZA KUSAFISHA DAMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-qyEMYVG42YI/XqVMj6AEKkI/AAAAAAAC3-U/0ZenNmtGRV0XlRqkY6M5gbDBsMD0qFECgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Taarifa hiyo imetolewa leo Aprili 26, 2020 na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Umma wa Hospitali hiyo, Aminiel Aligaesha na kuongeza kuwa, Hospitali hiyo pia inatarajia kufunga mashine moja ya kumsaidia mgonjwa kupumua kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa waliopata maambukizi hayo.
"Tayari wagonjwa wanaohitaji kusafishwa damu wameanza kuhudumiwa ,...
9 years ago
StarTV13 Nov
Hospitali ya Taifa Muhimbili yaanza utekelezaji wa maagizo ya Maguful
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imeanza utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Magufuli alipofanya ziara ya kushtukiza katika hospital hiyo jumatatu wiki hii.
Rais Magufuli baada ya kutembelea na kujionea changamoto mbalimbali, alitoa wiki mbili kwa uongozi wa hospitali hiyo kuhakikisha mashine za IMR na CT- SCAN zinatengenezwa na kuanza kufanya kazi.
Akizungumza na waandishi wa Habari Afisa Habari wa Hospital ya Taifa ya Muhimbili Aminiel...
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Mashine ya MRI Muhimbili yaharibika tena
Veronica Romwald na Allen Msapi (GHI), Dar es Salaam
MASHINE ya uchunguzi wa magonjwa mbalimbali ijulikanayo kama Magnetic Reasonance Imaging (MRI) iliyopo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, imeharibika tena baada ya kufanya kazi kwa siku mbili, tangu ilipofanyiwa matengenezo na Kampuni ya Philips.
Mashine hiyo ilifanyiwa matengenezo kutokana na shinikizo la Rais Dk. John Magufuli aliyefanya ziara ya kushtukiza hospitalini hapo na kuamuru zifanyiwe marekebisho haraka.
Katika ziara yake hiyo,...
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Agizo la Rais laponyesha mashine ya MRI Muhimbili
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WFOFjlsEtx4/VlROLk-mz_I/AAAAAAAIIL8/C2ifJ2zFA-g/s72-c/download.jpg)
MAFUNDI WAZISHUGULIKIA MASHINE ZA MRI NA CT-SCAN MUHIMBILI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-WFOFjlsEtx4/VlROLk-mz_I/AAAAAAAIIL8/C2ifJ2zFA-g/s1600/download.jpg)
Akizungumza ofisini kwake leo hii Mkuu wa Idara ya Uhusiano Hospitali ya Taifa Muhimbili Bw. Aminiel Buberwa Aligaesha amesema mafundi wapo katika eneo la kazi wakitengeneza hizo mashine ili ziweze kurudi katika hali yake ya kawaida.
“Tumepewa siku tatu kukamilisha ukarabati wa hizi mashine hivyo wananchi wawe na subira...
9 years ago
MichuziSERIKALI YANUNUA MASHINE MPYA YA CT-SCAN KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI YENYE UWEZO WA HALI YA JUU
Serikali imenunua mashine mpya ya CT-Scan yenye thamani ya takriban dola za Marekani milioni 1.7 yenye uwezo wa hali ya juu kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili(MNH) iliyopo jijini Dar es Salaam.
Ununuzi wa mashine hiyo, umefanyika kufuatia agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyoifanya hivi karibuni ambapo aliutaka uongozi wa hospitali hiyo kuboresha...