MKURUGENZI MTENDAJI MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII AANIKA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KWA KAYA MASIKINI ZILIZOFIKIWA NA MFUKO HUO NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-EYXICsT0ySQ/XktrML4Q1CI/AAAAAAALd1g/fTqwgoYfwo81bAbUBa3GmuNa_9CGulnvwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii.
MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Ladislaus Mwamanga amesema kuwa programu ya TASAF imetekelezwa katika awamu tatu na imekuwa ikitekeleza miradi mbalimbali katika ngazi ya jamii kwa lengo la kupunguza umasikini kwa msingi wa kutoa huduma za jamii katika sekta zote.
Utekelezaji huo umekuwa ukizingatia mahitaji halisi au kero za wananchi wenyewe kwa kushirikiana na vyombo vingine vya Serikali na kwamba awamu ya kwanza ya TASAF...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF wakutana na wadau wa Maendeleo jijini DSM kufanya Mapitio ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini PSSN.
10 years ago
VijimamboWizara ya Fedha ya kutana na uongozi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) nakujadili jinsi ya kufanikisha awamu ya pili ya mfuko huo nchini Tanzania.
11 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA UCHUMI, VIWANDA NA BIASHARA YAIWAGIA SIFA MFUKO WA PENSHENI WA PPF KWA HUDUMA NZURI ZINAZOTOLEWA NA MFUKO HUO
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-neur_SVAT5I/VdMaRqOW-vI/AAAAAAAAX2s/dEa2vCOX2Oc/s72-c/umbrella.jpg)
MFUKO WA PENSHENI WA PSPF, TPB KWA KUSHIRIKIANA NA PROPERTY INTERNATIONAL LIMITED WAZINDUA MPANGO WA KUWAKOPESHA VIWANJA WANACHAMA WA MFUKO HUO
![](http://4.bp.blogspot.com/-neur_SVAT5I/VdMaRqOW-vI/AAAAAAAAX2s/dEa2vCOX2Oc/s640/umbrella.jpg)
11 years ago
MichuziMFUKO WA MAENDELEO YA JAMII,TASAF NA JITIHADA ZA KUPAMBANA NA UMASIKINI NCHINI.
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF umeanza zoezi la kuwashirikisha walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya masikini kuibua miradi ya Ujenzi PWP...
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Mfuko wa GEPF wafanya mkutano na wadau Arusha wajadili maswala mbalimbali ya mfuko huo
MKUU wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda akiwa anafungua mkutano ulioandaliwa na mfuko wa mafao ya kustaafu wa GEPF kwa wadau wake jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali ya mfuko wa mafao ya kustaafu (GEPF) sambamba na mabadiliko katika mfuko huo.(Habari Picha na Pamela Mollel wa http://jamiiblog.co.tz/)
Meneja masoko wa mfuko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina akizungumza katika mkutano na wadau kutoka sekta mbalimbali uliofanyika jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali...
10 years ago
GPLMFUKO WA MAENDELEO YA JAMII TASAF WAKUTANA NA WADAU WA MAENDELEO JIJINI DSM
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BEZF91u9VOQ/VJqO6viUH1I/AAAAAAAG5f8/Lox9sldAm5E/s72-c/1220-nyota%2Balfajiri.jpg)
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii chachu ya Maendeleo Wilaya ya korogwe
![](http://4.bp.blogspot.com/-BEZF91u9VOQ/VJqO6viUH1I/AAAAAAAG5f8/Lox9sldAm5E/s1600/1220-nyota%2Balfajiri.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-F_abfF1h3Dc/VJqO7ptSFOI/AAAAAAAG5gE/ELosa9iKgS8/s1600/1239-maafisa%2Bwakiwa%2Bwatatu.jpg)