Waziri wa Afrika Kusini asifu Kambi ya Makutupora
NAIBU Waziri wa Utendaji, Ufuatiliaji na Tathimini Ofisi ya Rais, Jamhuri ya Afrika Kusini, Obeid Bapela amesifia juhudi zinazofanywa na vijana wa kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Makutupora mkoani hapa kwa shughuli mbalimbali za uzalishaji mali.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper02 Jul
JK asifu ushirikiano TZ na Afrika Kusini
NA MWANDISHI WETU
RAIS Jakaya Kikwete amesifu uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Afrika Kusini na kwamba haujawahi kuwa mzuri kama ilivyo sasa.
Amesema ni muhimu kwa Afrika Kusini kuendelea kuonyesha uongozi mzuri katika Ukanda wa Kusini mwa Afrika kwa sababu kwa kufanya hivyo,Afrika Kusini itakuwa inatimiza jukumu lake la kihistoria.
Rais Kikwete aliyasema hayo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki wakati akiagana na Balozi wa Afrika Kusini hapa Tanzania , Thanduyise Henry Chiliza...
9 years ago
Bongo511 Dec
Kayumba wa BSS kuweka kambi Afrika Kusini
![Kayumba akikabidhiwa zawadi kutoka kwa wadhamini wa shindano hilo.](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Kayumba-akikabidhiwa-zawadi-kutoka-kwa-wadhamini-wa-shindano-hilo.-300x194.jpg)
Mshindi wa shindano la Bongo Star Search (BSS) 2015, Kayumba Juma anasafiri usiku wa Ijumaa hii kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya maandalizi ya video ya wimbo wake mpya.
Muimbaji huyo ambaye alijinyakulia kitita cha shilingi milioni 60 baada ya kuibuka mshindi katika kinyang’anyiro hicho kilichokuwa na ushindani mkubwa, atasafiri akiwa pamoja na timu ya BSS ikiongozwa na mkurugenzi wake Madam Rita.
Akizungumza na Bongo5 leo mmoja kati ya viongozi wa msanii huyo, Said Fella, amesema kila...
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Taifa Stars kuweka kambi Afrika Kusini kujiandaa na Algeria
10 years ago
BBCSwahili15 Mar
Waziri Chabane afariki Afrika Kusini
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Waziri wa Afrika Kusini awakera wakenya
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Waziri akataa ombi la mfalme wa Afrika Kusini
10 years ago
GPLVURUGU ZA AFRIKA KUSINI, WAZIRI MEMBE ATOA TAMKO
11 years ago
MichuziWAZIRI CHIKAWE AIWAKILISHA TANZANIA MKUTANO WA MAWAZIRI, NCHINI AFRIKA KUSINI