Waziri akataa ombi la mfalme wa Afrika Kusini
Waziri wa haki wa Afrika Kusini amefutilia mbali ombi la kutaka kesi inayomkabili mfalme wa jamii ya Nelson Mandela ya Thembu isikizwe upya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mfalme wa Afrika Kusini kufungwa jela
Mfalme wa kabila la Nelson Mandela la Thembu atafungwa jela baada ya mahakama ya kikatiba nchini Afrika Kusini kukataa kata kata kusikiza ombi la rufaa
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--aG2Hg8lRHk/VX1XYZzZKdI/AAAAAAAA_zc/r_GfYTYad7w/s72-c/Ba.jpg)
AFRIKA KUSINI YAPUUZIA OMBI LA MAHAKAMA YA ICC LA KUMKAMATA RAIS AL-BASHIR
![](http://4.bp.blogspot.com/--aG2Hg8lRHk/VX1XYZzZKdI/AAAAAAAA_zc/r_GfYTYad7w/s640/Ba.jpg)
Kwenye taarifa yake, ICC imesema kuna waranti mbili za kumkamata Bashir anayetakiwa na mahakama hiyo kuhusiana na tuhuma za kuhusika na uhalifu ulitokea katika jimbo la Darfur na kwamba anakabiliwa na kesi inayohusiana na uhalifu wa kivita na mauaji ya...
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Mfalme kufungwa jela miaka 12 Afrika Kusini
Mahakama nchini Afrika Kusini imedumisha hukumu aliyopewa mfalme wa kabila la Thembu, ikisema lazima atumikie kifungo cha miaka 12.
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Mfalme wa Afrika Kusini kuanza kifungo leo
Serikali ya Afrika Kusini inatarajia mfalme wa kabila la aliyekuwa rais Nelson Mandela, la Thembu, kuanza kutumikia kifungo cha miaka 12 gerezani hii leo.
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Mfalme wa Afrika Kusini aanza maisha jela
Mfalme wa kabila la Wathembu nchini Afrika Kusini ameanza kutumikia kifungo cha miaka 12 jela siku chache baada yake kupoteza rufaa.
11 years ago
Habarileo21 Jul
Kikwete akataa ombi la kugawa wilaya ya Mbinga
RAIS Jakaya Kikwete amekataa maombi ya Mbunge wa Mbinga Mashariki, Gaudence Kayombo ya kutaka wilaya ya Mbinga igawanywe.
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Waziri wa Afrika Kusini awakera wakenya
Waziri wa michezo Fikile Mbalula amekemewa kwenye mitandao ya kijamii nchini Kenya kwa matamshi yake kuhusu wanariadha wa Kenya.
10 years ago
BBCSwahili15 Mar
Waziri Chabane afariki Afrika Kusini
Waziri Collins Chabane na rafiki mkubwa wa Rais Zuma afariki kwenye ajali ya gari
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania