Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri akataa ombi la mfalme wa Afrika Kusini

Waziri wa haki wa Afrika Kusini amefutilia mbali ombi la kutaka kesi inayomkabili mfalme wa jamii ya Nelson Mandela ya Thembu isikizwe upya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mfalme wa Afrika Kusini kufungwa jela

Mfalme wa kabila la Nelson Mandela la Thembu atafungwa jela baada ya mahakama ya kikatiba nchini Afrika Kusini kukataa kata kata kusikiza ombi la rufaa

 

10 years ago

Vijimambo

AFRIKA KUSINI YAPUUZIA OMBI LA MAHAKAMA YA ICC LA KUMKAMATA RAIS AL-BASHIR

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), imeitaka Afrika Kusini kumkamata rais wa Sudan Omar Al-Bashir ambaye anaripotiwa kusafiri kwenda nchini humo kuhudhuria mkutano wa Muungano wa nchi za Afrika ambao unaanza leo Jumapili.
Kwenye taarifa yake, ICC imesema kuna waranti mbili za kumkamata Bashir anayetakiwa na mahakama hiyo kuhusiana na tuhuma za kuhusika na uhalifu ulitokea katika jimbo la Darfur na kwamba anakabiliwa na kesi inayohusiana na uhalifu wa kivita na mauaji ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mfalme kufungwa jela miaka 12 Afrika Kusini

Mahakama nchini Afrika Kusini imedumisha hukumu aliyopewa mfalme wa kabila la Thembu, ikisema lazima atumikie kifungo cha miaka 12.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mfalme wa Afrika Kusini kuanza kifungo leo

Serikali ya Afrika Kusini inatarajia mfalme wa kabila la aliyekuwa rais Nelson Mandela, la Thembu, kuanza kutumikia kifungo cha miaka 12 gerezani hii leo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mfalme wa Afrika Kusini aanza maisha jela

Mfalme wa kabila la Wathembu nchini Afrika Kusini ameanza kutumikia kifungo cha miaka 12 jela siku chache baada yake kupoteza rufaa.

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete akataa ombi la kugawa wilaya ya Mbinga

RAIS Jakaya Kikwete amekataa maombi ya Mbunge wa Mbinga Mashariki, Gaudence Kayombo ya kutaka wilaya ya Mbinga igawanywe.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waziri wa Afrika Kusini awakera wakenya

Waziri wa michezo Fikile Mbalula amekemewa kwenye mitandao ya kijamii nchini Kenya kwa matamshi yake kuhusu wanariadha wa Kenya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri Chabane afariki Afrika Kusini

Waziri Collins Chabane na rafiki mkubwa wa Rais Zuma afariki kwenye ajali ya gari

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani