Kikwete akataa ombi la kugawa wilaya ya Mbinga
RAIS Jakaya Kikwete amekataa maombi ya Mbunge wa Mbinga Mashariki, Gaudence Kayombo ya kutaka wilaya ya Mbinga igawanywe.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AFUNGUA DARAJA LA RUHEKEI LINALOUNGANISHA WILAYA YA MBINGA NA WILAYA YA NYASA MKOANI RUVUMA
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Waziri akataa ombi la mfalme wa Afrika Kusini
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wcHCV7woiU4/U8q29DUptEI/AAAAAAAF3xQ/iW45C5Ov51Q/s72-c/unnamed+(10).jpg)
JK azindua rasmi stendi ya Mabasi mjini Mbinga Mkoani Ruvuma, Barabara ya Peramiho -Mbinga
![](http://3.bp.blogspot.com/-wcHCV7woiU4/U8q29DUptEI/AAAAAAAF3xQ/iW45C5Ov51Q/s1600/unnamed+(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4bb-ZtqKLK8/U8q29P5ZOkI/AAAAAAAF3xU/-BJmBPb3-FM/s1600/unnamed+(11).jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Aug
Kikwete akabidhi tuzo BRN Mbinga
Baadhi ya wanafunzi wa Darasa la saba kutoka kata ya Kigonsera Kilayani Mbinga wakipata chakula cha mchana.(Picha na Maktaba).
*Chakula cha mchana chapandisha taaluma
———————–
Na Hannah Mayige, Mwanafunzi Chuo Kikuu Huria cha Tanzania – OUT
Mafanikio ya kukabiliana na changamoto ya utoro wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma kwa kutumia chakula cha mchana kumeiletea sifa wilaya hiyo hadi kupata ngao ya kitaifa katika taaluma mtihani wa kuhitimu darasa la saba (Std VII) 2013.
Ngao hiyo...
11 years ago
MichuziDkt. Magufuli asema Wilaya ya Nyasa - Mbinga kuunganishwa kwa kwa Barabara ya Lami
Dkt. Magufuli aliyasema hayo jana alipokuwa anahutubia mamia ya Wakazi wa Nyasa kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa mpira wa miguu Mbamba bay, mara baada ya Mheshimiwa Rais Jakaya Kiwete kufungua Madaraja pacha ya Ruhekei A, B na C yaliyogharimu kiasi cha Tsh....
10 years ago
Bongo Movies26 Mar
Tujikumbushe: Mzee Majuto na Ombi lake kwa Rais Kikwete
Akihojiwa katika Kipindi cha Mkasi cha EATV mwishoni mwa mwaka 2014, Msanii Mkongwe wa vichekesho na mchekeshaji bora zaidi aliyewahi kutokea Tanzania, Amr Athuman almaarufu kama Mzee Majuto, alitoa ombi lake la kununuliwa Trekta ili kuweza kumudu kuendesha maisha yake ya uzeeni kupitia kilimo baada ya kuachana na sanaa ya maigizo aliyoitumikia kwa zaidi ya miaka 20 sasa.
Kwa msisitizo mkubwa, Mzee Majuto alimwomba Rais wa JMT, Mhe. Jakaya Kikwete kama anamsikiliza, amsaidie kwenye hilo na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5rW9I8lMa_I/VPJKr1cU4ZI/AAAAAAAHGrc/dxr3KpA7pm0/s72-c/Capt%2BJohn%2BKomba_Mbinga.jpg)
Rais Kikwete atoa Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mbunge wa Mbinga,Mh. John Komba
![](http://1.bp.blogspot.com/-5rW9I8lMa_I/VPJKr1cU4ZI/AAAAAAAHGrc/dxr3KpA7pm0/s1600/Capt%2BJohn%2BKomba_Mbinga.jpg)
Katika salamu zake za rambirambi kwa Spika wa Bunge, Mheshimiwa Anne Semamba Makinda na Katibu Mkuu wa CCM, MheshimiwaAbdulrahman Kinana, Mheshimiwa Kikwete...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCi*1NNEfTtZAHmiX*CWfFhYOUYvSMebgEemIaiVtU-B7pHR6DIcFEBsQTbahwxxczwAN*UsjrYHM0BxhPUyDRxg/apandamnara2.jpg)
KIOJA CHA KUFUNGA MWAKA: JAMAA APANDA JUU YA MNARA, AKATAA KUSHUKA MPAKA AONANE NA RAIS KIKWETE
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Rais Kikwete ateua wakuu wa wilaya 13