AFRIKA KUSINI YAPUUZIA OMBI LA MAHAKAMA YA ICC LA KUMKAMATA RAIS AL-BASHIR
![](http://4.bp.blogspot.com/--aG2Hg8lRHk/VX1XYZzZKdI/AAAAAAAA_zc/r_GfYTYad7w/s72-c/Ba.jpg)
Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), imeitaka Afrika Kusini kumkamata rais wa Sudan Omar Al-Bashir ambaye anaripotiwa kusafiri kwenda nchini humo kuhudhuria mkutano wa Muungano wa nchi za Afrika ambao unaanza leo Jumapili.
Kwenye taarifa yake, ICC imesema kuna waranti mbili za kumkamata Bashir anayetakiwa na mahakama hiyo kuhusiana na tuhuma za kuhusika na uhalifu ulitokea katika jimbo la Darfur na kwamba anakabiliwa na kesi inayohusiana na uhalifu wa kivita na mauaji ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
ICC yaitaka A. Kusini kumkamata Bashir
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Omar al Bashir kupelekwa mahakama ya ICC
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Je, ni nani nchini Sudan atakayefanya uamuzi wa kumwasilisha Omar el Bashir katika mahakama ya ICC?
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Rais Omar al Bashir kupelekwa ICC?
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Waziri akataa ombi la mfalme wa Afrika Kusini
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/1EvH6RK7gis/default.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA ZAMANI WA SUDANI YA KUSINI REIK MACHAR NCHINI AFRIKA YA KUSINI
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Afrika Kusini yanyimwa rufaa kuhusu ICC
10 years ago
BBCSwahili25 Jun
Afrika Kusini huenda ikajiondoa kwenye ICC