Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afrika Kusini yanyimwa rufaa kuhusu ICC

Korti nchini Afrika Kusini imekataa ombi la serikali kutaka kukata rufaa uamuzi wa kuishutumu kwa kutomkamata Bashir alipozuru taifa hilo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Uamuzi wasubiriwa kuhusu rufaa ya Lubanga ICC

Mahakama ya kimataifa ya ICC mjini Hague inatarajiwa kutangaza uamuzi wake leo kuhusu rufaa iliyowasilishwa na mtu wa kwanza kuhukumiwa na mahakama hio Thomas Lubanga

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini huenda ikajiondoa kwenye ICC

Afrika Kusini imeonya kuwa huenda ikajiondoa kutoka kwa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC kuhusiana na jaribio la kumkamata rais wa Sudan Omar al Bashir

 

9 years ago

BBCSwahili

ANC yaitaka Afrika Kusini ijiondoe katika ICC

Afrika Kusini huenda ikajiondoa kutoka kwa mahakama ya kimataifa ya ICC.

 

10 years ago

Vijimambo

AFRIKA KUSINI YAPUUZIA OMBI LA MAHAKAMA YA ICC LA KUMKAMATA RAIS AL-BASHIR

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), imeitaka Afrika Kusini kumkamata rais wa Sudan Omar Al-Bashir ambaye anaripotiwa kusafiri kwenda nchini humo kuhudhuria mkutano wa Muungano wa nchi za Afrika ambao unaanza leo Jumapili.
Kwenye taarifa yake, ICC imesema kuna waranti mbili za kumkamata Bashir anayetakiwa na mahakama hiyo kuhusiana na tuhuma za kuhusika na uhalifu ulitokea katika jimbo la Darfur na kwamba anakabiliwa na kesi inayohusiana na uhalifu wa kivita na mauaji ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yaonywa na Marekani kuhusu mpango wa kuchukua ardhi za wazungu bila fidia

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Mike Pompeo ameonya mipango ya serikali ya Afrika Kusini kunyakua ardhi pasipo fidia kuwa ''utaleta madhara mabaya sana'' kwa uchumi na taifa kwa ujumla.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kigwangwalla atembelea ujenzi wa hospitali ya rufaa kanda ya kusini

01

Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa (katikati) akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kushoto) alipotembelea eneo la Mikindani inapojengwa hospitali ya mpya ya kanda ya kusini, mkoani Mtwara.

02

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kushoto) akimuuliza swali Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara Dkt. Shaibu...

 

10 years ago

BBCSwahili

ICC yaitaka A. Kusini kumkamata Bashir

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC imeitaka Afrika Kusini kumkamata rais wa Sudan Omar Al-Bashir

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani