Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ICC yaitaka A. Kusini kumkamata Bashir

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC imeitaka Afrika Kusini kumkamata rais wa Sudan Omar Al-Bashir

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

AFRIKA KUSINI YAPUUZIA OMBI LA MAHAKAMA YA ICC LA KUMKAMATA RAIS AL-BASHIR

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), imeitaka Afrika Kusini kumkamata rais wa Sudan Omar Al-Bashir ambaye anaripotiwa kusafiri kwenda nchini humo kuhudhuria mkutano wa Muungano wa nchi za Afrika ambao unaanza leo Jumapili.
Kwenye taarifa yake, ICC imesema kuna waranti mbili za kumkamata Bashir anayetakiwa na mahakama hiyo kuhusiana na tuhuma za kuhusika na uhalifu ulitokea katika jimbo la Darfur na kwamba anakabiliwa na kesi inayohusiana na uhalifu wa kivita na mauaji ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

ANC yaitaka Afrika Kusini ijiondoe katika ICC

Afrika Kusini huenda ikajiondoa kutoka kwa mahakama ya kimataifa ya ICC.

 

10 years ago

BBC

SA may leave ICC over Bashir row

South Africa says it is reviewing participation in the International Criminal Court after failing to arrest Sudan's president, despite an ICC warrant.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al-Bashir asema ameishinda ICC

Rais wa Sudan adai kuwa ICC imeshindwa kuitahayarisha Sudan

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Bashir ICC warrant 'had an effect'

The lead counsel for Darfur rebels at the International Criminal Court says that the arrest warrant "had an effect" on Omar al-Bashir.

 

9 years ago

TheCitizen

Bashir to avoid UN event over ICC issue

Sudanese President Omar al-Bashir, under indictment by the International Criminal Court for war crimes, has abandoned plans to attend the UN General Assembly in New York this week.

 

5 years ago

BBCSwahili

Omar al Bashir kupelekwa mahakama ya ICC

Baraza la mpito limekubali kumkabidhi rais wa zamani Omar al Bashir kwa mahakama ya kimataifa ya ICC.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Omar al Bashir kupelekwa ICC?

Rais Omar al-Bashir amesema ataondoka nchini Afrika Kusini licha ya mahakama nchi humo kutaka kumzuia

 

10 years ago

BBC

VIDEO: ICC 'not to blame' for Bashir failure

Prosecutor of the International Criminal Court, Fatou Bensouda, tells the BBC's Thomas Fessy that the ICC should not be blamed for failing to arrest Sudanese president, Omar al-Bashir.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani