Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Omar al Bashir kupelekwa mahakama ya ICC

Baraza la mpito limekubali kumkabidhi rais wa zamani Omar al Bashir kwa mahakama ya kimataifa ya ICC.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Rais Omar al Bashir kupelekwa ICC?

Rais Omar al-Bashir amesema ataondoka nchini Afrika Kusini licha ya mahakama nchi humo kutaka kumzuia

 

5 years ago

BBCSwahili

Je, ni nani nchini Sudan atakayefanya uamuzi wa kumwasilisha Omar el Bashir katika mahakama ya ICC?

Bashir na wengine wanatuhumiwa na makossa mabaya ya uhalifu katika mzozo wa jimbo la magharibi la Darfur ambao ulianza 2003.

 

5 years ago

BBC

Omar al-Bashir: Sudan agrees ex-president must face ICC

The former strongman is accused of genocide and war crimes over killings in Darfur.

 

10 years ago

Vijimambo

AFRIKA KUSINI YAPUUZIA OMBI LA MAHAKAMA YA ICC LA KUMKAMATA RAIS AL-BASHIR

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), imeitaka Afrika Kusini kumkamata rais wa Sudan Omar Al-Bashir ambaye anaripotiwa kusafiri kwenda nchini humo kuhudhuria mkutano wa Muungano wa nchi za Afrika ambao unaanza leo Jumapili.
Kwenye taarifa yake, ICC imesema kuna waranti mbili za kumkamata Bashir anayetakiwa na mahakama hiyo kuhusiana na tuhuma za kuhusika na uhalifu ulitokea katika jimbo la Darfur na kwamba anakabiliwa na kesi inayohusiana na uhalifu wa kivita na mauaji ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Omar al Bashir ashinda uchaguzi

Rais wa Sudan, Omar al-Bashir amechaguliwa kwa muhula mwengine wa miaka mitano kuendelea kuiongoza nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Omar al Bashir aapishwa kwa muhula wa 6

Rais Omar al-Bashir, ameapishwa kwa muhula mwengine wa miaka mitano baada ya kupata ushindi mwengine kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika April.

 

9 years ago

Sudan Vision

President Omar Al Bashir's Delegation Meets Kikwete


Sudan Vision
President Omar Al Bashir's Delegation Meets Kikwete
Sudan Vision
The Sudanese President Omar Al Bashir special envoy arrived in Tanzania yesterday to drum up support from President Jakaya Kikwete's to plead with the United Nations to repatriate its peacekeeping mission from the troubled Darfur. Prof Ibrahim Ahmed ...
Africa: President Kikwete of Tanzania Says African Court On Human and Peoples ...AllAfrica.com

all 3

 

5 years ago

BBC

Omar al-Bashir: Will genocide charge against Sudan's ex-president stick?

A lot of work is needed before Sudan's ex-dictator faces an international court, argues Alex de Waal.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al-Bashir asema ameishinda ICC

Rais wa Sudan adai kuwa ICC imeshindwa kuitahayarisha Sudan

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani