Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfalme wa Afrika Kusini kufungwa jela

Mfalme wa kabila la Nelson Mandela la Thembu atafungwa jela baada ya mahakama ya kikatiba nchini Afrika Kusini kukataa kata kata kusikiza ombi la rufaa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mfalme kufungwa jela miaka 12 Afrika Kusini

Mahakama nchini Afrika Kusini imedumisha hukumu aliyopewa mfalme wa kabila la Thembu, ikisema lazima atumikie kifungo cha miaka 12.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mfalme wa Afrika Kusini aanza maisha jela

Mfalme wa kabila la Wathembu nchini Afrika Kusini ameanza kutumikia kifungo cha miaka 12 jela siku chache baada yake kupoteza rufaa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mfalme wa Afrika Kusini kuanza kifungo leo

Serikali ya Afrika Kusini inatarajia mfalme wa kabila la aliyekuwa rais Nelson Mandela, la Thembu, kuanza kutumikia kifungo cha miaka 12 gerezani hii leo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waziri akataa ombi la mfalme wa Afrika Kusini

Waziri wa haki wa Afrika Kusini amefutilia mbali ombi la kutaka kesi inayomkabili mfalme wa jamii ya Nelson Mandela ya Thembu isikizwe upya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Afrika kusini kufungwa wiki tatu

Maafisa wa usalama wameenea katika mitaa mbalimbali Afrika Kusini wakati taifa lilipotangaza watu wasitoke nje.

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi wanane wafungwa jela Afrika Kusini

Maafisa wanane wa polisi waliopatikana na hatia ya kumtendea unyama raia wa Msumbiji mwaka 2013 wamehukumiwa kifungo cha miaka 15 kila mmoja.

 

9 years ago

Habarileo

Raia wa Afrika Kusini atupwa jela kwa kuishi Zanzibar kinyume

RAIA wa Afrika Kusini amefungwa miaka mitatu jela Zanzibar kwa kosa la kujaribu kuishi Zanzibar kinyume cha Sheria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rwanda - Ingabire kufungwa miaka 15 jela

Mahakama ya juu zaidi nchini Rwanda imemhukumu kiongozi wa upinzani wa Rwanda Victoire Ingabire miaka 15 jela katika kesi ya rufaa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani