Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wanane wafungwa jela Afrika Kusini

Maafisa wanane wa polisi waliopatikana na hatia ya kumtendea unyama raia wa Msumbiji mwaka 2013 wamehukumiwa kifungo cha miaka 15 kila mmoja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mfalme wa Afrika Kusini kufungwa jela

Mfalme wa kabila la Nelson Mandela la Thembu atafungwa jela baada ya mahakama ya kikatiba nchini Afrika Kusini kukataa kata kata kusikiza ombi la rufaa

 

9 years ago

BBCSwahili

Mfalme wa Afrika Kusini aanza maisha jela

Mfalme wa kabila la Wathembu nchini Afrika Kusini ameanza kutumikia kifungo cha miaka 12 jela siku chache baada yake kupoteza rufaa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mfalme kufungwa jela miaka 12 Afrika Kusini

Mahakama nchini Afrika Kusini imedumisha hukumu aliyopewa mfalme wa kabila la Thembu, ikisema lazima atumikie kifungo cha miaka 12.

 

9 years ago

Habarileo

Raia wa Afrika Kusini atupwa jela kwa kuishi Zanzibar kinyume

RAIA wa Afrika Kusini amefungwa miaka mitatu jela Zanzibar kwa kosa la kujaribu kuishi Zanzibar kinyume cha Sheria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi Afrika Kusini Matatani

Maafisa 2 wa polisi nchini Afrika Kusini watiwa mbaroni baada ya picha za video kuonyeshwa wakimdhulumu mtu mmoja kutoka Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi washutumiwa Afrika kusini

Polisi nchini Afrika kusini washutumiwa kuhusika katika tukio la mauaji dhidi ya Wafanyakazi 34 wa mgodi wa Marikana

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria yalaani polisi Afrika Kusini

Nigeria imeteta vikali kuhusu polisi wa Afrika Kusini walionaswa katika kanda ya video wakimtesa kinyama raia wa Nigeria mjini Cape Town.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wandishi wa Al Jazeera wafungwa jela

Serikali ya Misri imewahukumu jela kati ya miaka saba na kumi wandishi wa Al Jazeera

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani