Wandishi wa Al Jazeera wafungwa jela
Serikali ya Misri imewahukumu jela kati ya miaka saba na kumi wandishi wa Al Jazeera
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Wandishi wa Al Jazeera miaka 7 jela
Mahakama nchini Misri imewahukumu jela miaka saba wandishi watatu wa habari wa shirika la habari la Al Jazeera kwa kosa la kueneza habari za kupotosha
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Waandishi wa Al Jazeera wafungwa Jela
Mahakama nchini Misri imewahukumu jela wandishi 3 wa shirika la habari la Al Jazeera .
11 years ago
BBCSwahili15 May
Wandishi wa Al-Jazeera wanyimwa dhamana
Kesi dhidi ya wandishi watatu wa habari wa shirika la habari la Al-Jazeera,nchini Misri imeahirishwa kwa wiki nyingine moja na washitakiwa kunyimwa dhamana tena
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Wandishi wa Al Jazeera wanyimwa dhamana
Mahakama nchini Misri imewanyima dhamana kwa mara nyingine wandishi 3 wa habari wa Al Jazeera wanaotuhumiwa kulisaidia kundi la Brotherhood
9 years ago
BBCSwahili29 Aug
Waandishi wa Al Jazeera miaka 3 Jela
Mahakama nchini Misri imewahukumu waandishi watatu wa kituo cha runinga cha Al jazeera miaka mitatu jela
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx86YQhMf4Sh1tho4B2Y*mYX05oyVF9cOvDJv6NKeF8tiiaBccQn2WivYRjuDv6BRiTb020MIMEvGhqBxvl-9gaS/waandishi.jpg?width=450)
WANAHABARI WATATU WA AL JAZEERA JELA MIAKA 7
Wanahari wa Al Jazeera waliohukumiwa kwenda jela miaka 7. MAHAKAMA nchini Misri imewahukumu kwenda jela miaka saba wandishi watatu wa habari wa Shirika la Habari la Al Jazeera waliokuwa wamezuiliwa miezi sita nchini humo. Wanahabari hao walipatikana na hatia ya kueneza habari za upotoshaji na kushirikiana na kundi la wapiganaji wa kiisilamu la Muslim Brotherhood. Mmoja wa wandishi hao ni Peter Greste, raia wa Australia...
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Wanenguaji wawili wafungwa jela Misri
Wacheza densi wawili wamefungwa jela miezi sita Misri kwa kuchochea uasherati baada yao kucheza videoni wakivalia nusu uchi.
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Wafungwa 250 watoroka jela DRC
Wafungwa wasiopungua 250 katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walitoroka gerezanimajira ya alfajiri
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Polisi wanane wafungwa jela Afrika Kusini
Maafisa wanane wa polisi waliopatikana na hatia ya kumtendea unyama raia wa Msumbiji mwaka 2013 wamehukumiwa kifungo cha miaka 15 kila mmoja.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania