Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wandishi wa Al Jazeera wafungwa jela

Serikali ya Misri imewahukumu jela kati ya miaka saba na kumi wandishi wa Al Jazeera

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wandishi wa Al Jazeera miaka 7 jela

Mahakama nchini Misri imewahukumu jela miaka saba wandishi watatu wa habari wa shirika la habari la Al Jazeera kwa kosa la kueneza habari za kupotosha

 

11 years ago

BBCSwahili

Waandishi wa Al Jazeera wafungwa Jela

Mahakama nchini Misri imewahukumu jela wandishi 3 wa shirika la habari la Al Jazeera .

 

11 years ago

BBCSwahili

Wandishi wa Al-Jazeera wanyimwa dhamana

Kesi dhidi ya wandishi watatu wa habari wa shirika la habari la Al-Jazeera,nchini Misri imeahirishwa kwa wiki nyingine moja na washitakiwa kunyimwa dhamana tena

 

11 years ago

BBCSwahili

Wandishi wa Al Jazeera wanyimwa dhamana

Mahakama nchini Misri imewanyima dhamana kwa mara nyingine wandishi 3 wa habari wa Al Jazeera wanaotuhumiwa kulisaidia kundi la Brotherhood

 

9 years ago

BBCSwahili

Waandishi wa Al Jazeera miaka 3 Jela

Mahakama nchini Misri imewahukumu waandishi watatu wa kituo cha runinga cha Al jazeera miaka mitatu jela

 

11 years ago

GPL

WANAHABARI WATATU WA AL JAZEERA JELA MIAKA 7

Wanahari wa Al Jazeera waliohukumiwa kwenda jela miaka 7. MAHAKAMA nchini Misri imewahukumu kwenda jela miaka saba wandishi watatu wa habari wa Shirika la Habari la Al Jazeera waliokuwa wamezuiliwa miezi sita nchini humo. Wanahabari hao walipatikana na hatia ya kueneza habari za upotoshaji na kushirikiana na kundi la wapiganaji wa kiisilamu la Muslim Brotherhood. Mmoja wa wandishi hao ni Peter Greste, raia wa Australia...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanenguaji wawili wafungwa jela Misri

Wacheza densi wawili wamefungwa jela miezi sita Misri kwa kuchochea uasherati baada yao kucheza videoni wakivalia nusu uchi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wafungwa 250 watoroka jela DRC

Wafungwa wasiopungua 250 katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walitoroka gerezanimajira ya alfajiri

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi wanane wafungwa jela Afrika Kusini

Maafisa wanane wa polisi waliopatikana na hatia ya kumtendea unyama raia wa Msumbiji mwaka 2013 wamehukumiwa kifungo cha miaka 15 kila mmoja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani