Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafungwa 250 watoroka jela DRC

Wafungwa wasiopungua 250 katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walitoroka gerezanimajira ya alfajiri

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wafungwa watoroka gerezani mjini Bangui

Takriban wafungwa 500 wametoroka gerezani mjini Bangui nchini Jamuhuri ya Afrika ya kati

 

11 years ago

BBCSwahili

Waandishi wa Al Jazeera wafungwa Jela

Mahakama nchini Misri imewahukumu jela wandishi 3 wa shirika la habari la Al Jazeera .

 

11 years ago

BBCSwahili

Wandishi wa Al Jazeera wafungwa jela

Serikali ya Misri imewahukumu jela kati ya miaka saba na kumi wandishi wa Al Jazeera

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanenguaji wawili wafungwa jela Misri

Wacheza densi wawili wamefungwa jela miezi sita Misri kwa kuchochea uasherati baada yao kucheza videoni wakivalia nusu uchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafungwa,na walinzi wauawa katika jela Iraq

Askari polisi kadhaa wa Iraq pamoja na wafungwa karibia 30, wameuawa, wakati wafungwa zaidi ya 50 walipotoroka jela

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi wanane wafungwa jela Afrika Kusini

Maafisa wanane wa polisi waliopatikana na hatia ya kumtendea unyama raia wa Msumbiji mwaka 2013 wamehukumiwa kifungo cha miaka 15 kila mmoja.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafungwa miaka 56 jela kwa kuharibu mali

Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Rukwa, imewahukumu watu wanane wa Kijiji cha Sikaungu wilayani Sumbawanga, kutumikia kifungo cha miaka 56 jela baada ya kupatikana na hatia ya kuteketeza mali za mwekezaji zenye thamani ya zaidi ya Sh 227 milioni.

 

5 years ago

CCM Blog

MJI MKUU WA KINSHASA WAFUNGWA WIKI TATU DRC SABABU YA CORONA

   Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kufungwa kabisa kwa mji mkuu wa Kinshasa kwa muda wa wiki tatu ili kuzuia maambukizi ya virusi vya corona.
DRC imethibitisha kuwa na wagonjwa 54 mjini Kinshasa na kuwaweka watu 2,000 karantini ambao wamehusiana na wagonjwa hao wa covid-19.

Mji huo wa Kinshasa utafungwa rasmi siku ya Jumamosi ambapo hakutakuwa na mtu atakayeruhusiwa kutoka nje siku zaidi ya siku mbili kwa wiki kwa ajili ya kununua mahitaji muhimu ya chakula.

Wakati ambao mji huo...

 

11 years ago

Bongo5

Watu 6 wafungwa jela mwaka mmoja kwa kucheza wimbo wa ‘Happy’ wa Pharrell

Watu sita nchini Iran waliokamatwa baada ya kuonekana kwenye kanda ya video iliyokuwa inaiga wimbo wa ‘Happy’ wake mwanamuziki Pharrell William, wamehukumiwa kifungo cha hadi mwaka mmoja jela kila mmoja pamoja na adhabu ya kuchapwa mijeledi 91. Wakili wa watu hao amesema kuwa hukumu hiyo itaahirishwa kwa miezi sita ikimaanisha kuwa watafungwa tu jela ikiwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani