Wafungwa 250 watoroka jela DRC
Wafungwa wasiopungua 250 katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walitoroka gerezanimajira ya alfajiri
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Wafungwa watoroka gerezani mjini Bangui
Takriban wafungwa 500 wametoroka gerezani mjini Bangui nchini Jamuhuri ya Afrika ya kati
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Waandishi wa Al Jazeera wafungwa Jela
Mahakama nchini Misri imewahukumu jela wandishi 3 wa shirika la habari la Al Jazeera .
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Wandishi wa Al Jazeera wafungwa jela
Serikali ya Misri imewahukumu jela kati ya miaka saba na kumi wandishi wa Al Jazeera
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Wanenguaji wawili wafungwa jela Misri
Wacheza densi wawili wamefungwa jela miezi sita Misri kwa kuchochea uasherati baada yao kucheza videoni wakivalia nusu uchi.
10 years ago
BBCSwahili09 May
Wafungwa,na walinzi wauawa katika jela Iraq
Askari polisi kadhaa wa Iraq pamoja na wafungwa karibia 30, wameuawa, wakati wafungwa zaidi ya 50 walipotoroka jela
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Polisi wanane wafungwa jela Afrika Kusini
Maafisa wanane wa polisi waliopatikana na hatia ya kumtendea unyama raia wa Msumbiji mwaka 2013 wamehukumiwa kifungo cha miaka 15 kila mmoja.
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Wafungwa miaka 56 jela kwa kuharibu mali
Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Rukwa, imewahukumu watu wanane wa Kijiji cha Sikaungu wilayani Sumbawanga, kutumikia kifungo cha miaka 56 jela baada ya kupatikana na hatia ya kuteketeza mali za mwekezaji zenye thamani ya zaidi ya Sh 227 milioni.
5 years ago
CCM Blog
MJI MKUU WA KINSHASA WAFUNGWA WIKI TATU DRC SABABU YA CORONA

DRC imethibitisha kuwa na wagonjwa 54 mjini Kinshasa na kuwaweka watu 2,000 karantini ambao wamehusiana na wagonjwa hao wa covid-19.
Mji huo wa Kinshasa utafungwa rasmi siku ya Jumamosi ambapo hakutakuwa na mtu atakayeruhusiwa kutoka nje siku zaidi ya siku mbili kwa wiki kwa ajili ya kununua mahitaji muhimu ya chakula.
Wakati ambao mji huo...
11 years ago
Bongo520 Sep
Watu 6 wafungwa jela mwaka mmoja kwa kucheza wimbo wa ‘Happy’ wa Pharrell
Watu sita nchini Iran waliokamatwa baada ya kuonekana kwenye kanda ya video iliyokuwa inaiga wimbo wa ‘Happy’ wake mwanamuziki Pharrell William, wamehukumiwa kifungo cha hadi mwaka mmoja jela kila mmoja pamoja na adhabu ya kuchapwa mijeledi 91. Wakili wa watu hao amesema kuwa hukumu hiyo itaahirishwa kwa miezi sita ikimaanisha kuwa watafungwa tu jela ikiwa […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania