Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafungwa watoroka gerezani mjini Bangui

Takriban wafungwa 500 wametoroka gerezani mjini Bangui nchini Jamuhuri ya Afrika ya kati

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wafungwa 250 watoroka jela DRC

Wafungwa wasiopungua 250 katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walitoroka gerezanimajira ya alfajiri

 

10 years ago

StarTV

Wafungwa wakutwa wakila raha gerezani.

Polisi mjini Manila wamevamia gereza moja na kuushangaza umma wa Philippines baada ya kung’amua maisha ya anasa yanayoendelea ndani ya gereza hilo kwa kikundi cha baadhi ywa wafungwa wenye upendeleo wa kipekee.

Uvamizi huo umefanywa katika gereza hilo la Bilibid lenye wafungwa wengi nchini humo kufuatia taarifa kwamba mtandao wa dawa za kulevya nchini humo unafanya kazi katika gereza hilo kwa njia za panya.

Polisi nchini Phillipines

Baada ya uvamizi huo maafisa wa polisi walikuta...

 

10 years ago

Mwananchi

Ripoti Maalumu; Wafungwa waagiza nyamapori gerezani

Katika gazeti hili jana tulianza kuwaletea mfululizo wa Ripoti Maalumu kuhusu kubainika kuwapo kwa mtandao wa uhalifu ambao unawawezesha baadhi ya watu kuratibu matukio ya uhalifu wakiwa gerezani katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.

 

10 years ago

Mwananchi

RIPOTI MAALUM: Wafungwa waendesha uhalifu wakiwa gerezani

Wakati Serikali ikihaha kukabiliana na vitendo vya uhalifu, imebainika kuwapo kwa mtandao wa uhalifu ambao unawawezesha baadhi ya watu waliofungwa kuratibu matukio ya uhalifu wakiwa gerezani katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO

Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiMAHABUSU wapya kupokelewa Gerezani mara baada ya kufanyiwa vipimo vya afya zao hii ni kufuatia kwa kuripotiwa kwa uwepo wa ugonjwa wa Corona (Covid-19) nchini.
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...

 

11 years ago

BBC

CAR clashes 'kill 35' in Bangui

Fighting in the capital of Central African Republic over the last three days has left 35 people dead, the Red Cross says.

 

11 years ago

BBCSwahili

Hali ya taharuki yatanda Bangui

UN inasema usalama katika mji mkuu wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati umeendelea kuzorota, huku taharuki ikitanda kati ya walinda amani na wapiganaji wa kikristo Anti -Balaka.

 

11 years ago

BBC

Grenade attack 'kills 20' in Bangui

A grenade attack on a wake in Bangui, capital of the Central African Republic, has killed 20 people, a government minister says.

 

11 years ago

BBC

VIDEO: 'Hunger for vengeance' in Bangui

Thomas Fessy reports from Bangui, where mob rule on the streets has already left two men dead.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani